ally ngomanzito
Member
- Oct 7, 2015
- 86
- 108
Mgombea Ubunge kwa jimbo la Ubungo kupitia CCM Profesa Kitila Mkumbo yupo mitaa hii ya Stand ya Mabasai ya Mkoa.
Hivi alimsaliti nani na kwanini !!?Anatema shudu gani huyo msaliti hapo stand?
Kumbuka kura ni siri ya mtu...Anatia huruma sana huyu mtu. Bony atamnyoosha tuu. We subiri
Wamempiga ban lkn wengine wanatoa rushwa ya ajirakasemaje kuhusu Mzee Rungwe wa Ubwabwa kuku?