Profesa kijana apewa Ubalozi

Profesa kijana apewa Ubalozi

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
16,099
Reaction score
24,334
Hatimaye Chuo chetu cha UDSM kimepata kuwa na professor mtoto kuliko wote, amepata ubalozi.
huyu professor ni kijana mdogo sana na ana akili za ziada.

Magufuli anajua kutafuta vichwa, pongezi raisi wetu MAGUFULI

735BA89C-3BD9-4A18-B032-0DE1DA0EFA83.jpeg

42CE71AD-C4BE-45C6-869F-A7C1FE8005D5.jpeg
 
Kuna dogo mmoja wa Francis Mponjoli Kifukwe alichukua Ph.D akiwa na miaka 26 kama sijakosea.

Sasa kama miaka 43 ni mtoto, huyo wa 26 aitwe vipi?
Kumbe nikisoma naweza kupata upro nikiwa na umri mdogo zaidi
 
26 kivipi? Alimaliza degree lini na hizo za kabla ya uprof?
Kupata Ph.D ukiwa na miaka 26 si ajabu, inategemea na mfumo. Yeye alisomea IST akarukia mifumo ya Ulaya kumaliza shule mdogo sana.


There are many things to do with a PhD


TUESDAY MAY 6 2014
gwamaka.jpg


Gwamaka before presenting at a Uongozi seminar. PHOTOI COURTESY

In Summary
  • Since attaining his PhD in Geography at the age of 26 in 2011, Gwamaka is now part of a think tank team aimed at solving Tanzania’s and Africa’s developmental challenges.
 
Hatimaye Chuo chetu cha UDSM kimepata kuwa na professor mtoto kuliko wote, amepata ubalozi.
huyu professor ni kijana mdogo sana na ana akili za ziada.
Magufuli anajua kutafuta vichwa, pongezi raisi wetu MAGUFULI
What a waste!!

Unamtoa intelligent, young, and energetic individual from a higher learning institution na kumpeleka ubalozini!!?
 
Back
Top Bottom