Profesa Kabudi akamatwe na kuhojiwa kwa Kusababisha Taharuki

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,809
218,466
Aliyekuwa Waziri wa Sheria wa Tanzania , Profesa Kabudi , anapaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa kudanganya Umma na Kusababisha Taharuki , huyu anaweza kuropoka mengi machafu waliyokuwa wanafanya kwa kushirikiana na Mwendazake na wengine .

Huku akijua kwamba anayoyaongea ni Uongo , bado akaamua kuleta Matumaini Hewa kwa wananchi ambao waliamini KILA RAIA ZIKIWEMO HATA MIMBA ZA WAKATI KWAMBA WATAPATA NOAH MOJA MOJA kutokana na kauli ya serikali kuhusu mapato yatakayotokana na Mauzo ya Haki ya Makinikia yaliyokamatwa Bandarini .

Tundu Lissu alipojitokeza hadharani kupinga uongo ule wa kishamba walimuita majina yote mabaya na kwamba si Mzalendo , leo kiko wapi ?

Wako raia ambao leo wamepata matatizo ya akili kutokana na kupoteza matumaini ya Kupata Noah hizo , Leo Kabudi yuleyule anatoka hadharani kirahisi tu kwamba alidanganya ! Tunamfanyaje huyu jamaa Aisee ?

FB_IMG_1664610593409.jpg
 
Kwanza mnakosea mnapotumia picha za watu bila idhini yao, huu sio ustaarabu, hili taifa na raia wake ni maskini inajulikana, haihitajiki picha ili kuthibitisha hayo.

Kuhusu kukamatwa kwa Kabudi haitawezekana kwani nae alikuwa akifanya jambo walilokubaliana serikalini, huo ndio ujinga wa "collective responsibility" uliomuondoa Mulamula ofisini jana.

Kabudi angekamatwa na kuhojiwa kama angegoma kufanya kile alichofanya, tena ingempendeza bosi wake nae angetumbuliwa, hivyo kwa hiyo tabia yetu tuliyojijengea, binafsi sioni kosa la Kabudi.
 
Ni nyumbu tu asiyeelewa kuwa mbinu ile ilibadiri kabisa sura ya sheria za madini Tanzania
 
Wakiwa kwenye v8 akili huwaruka.
Kumbe mama alikuwa sahihi kuwafyekelea mbali Prof majalala, Lukuvi na Kalemani.

Tume ya Osoro ilikuwa inamtaja dr kafumu bila kumtaja Kalemani wakati wote walikuwa wakurugenz wa nishati na madin respectively.

Paskali akapewa tenda ya kuagiza mita za umeme nch nzima, vichekesho.

Awam ya tano ilikuwa ubabe.
 
Wakiwa kwenye v8 akili huwaruka.
Kumbe mama alikuwa sahihi kuwafyekelea mbali prof majalala, lukuvi na kalemani.

Tume ya osoro ilikuwa inamtaja dr kafumu bila kumtaja kalemani wakati wote walikuwa wakurugenz wa nishati na madin respectively.

Paskali akapewa tenda ya kuagza mita za umeme nch nzima, vichekesho.

Awam ya tano ilikuwa ubabe.
Itafahamika tu
 
Tafsiri yako isiwe ya kila mtu , Umasikini wa huyo mtu kwenye picha ni upi , unaamini kwamba vitambi ndio utajiri ? nakustahi kwa sasa
Kutumia picha ya mtu au sauti bila idhini yake ni kosa kisheria, haijalishi kwa sababu yoyote ile, pata idhini yake kwanza ndio uitumie, sio kubisha hovyo tu.
 
Aliyekuwa Waziri wa Sheria wa Tanzania , Profesa Kabudi , anapaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa kudanganya Umma na Kusababisha Taharuki , huyu anaweza kuropoka mengi machafu waliyokuwa wanafanya kwa kushirikiana na Mwendazake na wengine .

Huku akijua kwamba anayoyaongea ni Uongo , bado akaamua kuleta Matumaini Hewa kwa wananchi ambao waliamini KILA RAIA ZIKIWEMO HATA MIMBA ZA WAKATI KWAMBA WATAPATA NOAH MOJA MOJA kutokana na kauli ya serikali kuhusu mapato yatakayotokana na Mauzo ya Haki ya Makinikia yaliyokamatwa Bandarini .

Tundu Lissu alipojitokeza hadharani kupinga uongo ule wa kishamba walimuita majina yote mabaya na kwamba si Mzalendo , leo kiko wapi ?

Wako raia ambao leo wamepata matatizo ya akili kutokana na kupoteza matumaini ya Kupata Noah hizo , Leo Kabudi yuleyule anatoka hadharani kirahisi tu kwamba alidanganya ! Tunamfanyaje huyu jamaa Aisee ?

View attachment 2376948
Nakazia 📌📌📌
 
Hii nchi viongozi wetu hawakosi vituko Le Professor amepiga u- turn,na anatoa nje siri za Baraza la mawaziri za kusema uongo
 
Aliyekuwa Waziri wa Sheria wa Tanzania , Profesa Kabudi , anapaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa kudanganya Umma na Kusababisha Taharuki , huyu anaweza kuropoka mengi machafu waliyokuwa wanafanya kwa kushirikiana na Mwendazake na wengine .
Na hasa Noah zetu za mgao
 
Kwanza mnakosea mnapotumia picha za watu bila idhini yao, huu sio ustaarabu, hili taifa na raia wake ni maskini inajulikana, haihitajiki picha ili kuthibitisha hayo.

Kuhusu kukamatwa kwa Kabudi haitawezekana kwani nae alikuwa akifanya jambo walilokubaliana serikalini, huo ndio ujinga wa "collective responsibility" uliomuondoa Mulamula ofisini jana.

Kabudi angekamatwa na kuhojiwa kama angegoma kufanya kile alichofanya, tena ingempendeza bosi wake nae angetumbuliwa, hivyo kwa hiyo tabia yetu tuliyojijengea, binafsi sioni kosa la Kabudi.
Tanzania ni hatari sana kuweka picha yako kwenye mtandao. Sehemu kama Facebook au Instagram unatakiwa uwe makini sana sana na watu unao-share nao picha. Watu wamegeuza umaskini, ulemavu au hitilafu kama mapengo kuwa kama kichekesho cha kunegesha story zao. Huwa najisikia vibaya sana kuona picha za wazee maskini vijijini zinavyotumika kama viburudisho au kejeli.
 
Tanzania ni hatari sana kuweka picha yako kwenye mtandao. Sehemu kama Facebook au Instagram unatakiwa uwe makini sana sana na watu unao-share nao picha. Watu wamegeuza umaskini, ulemavu au hitilafu kama mapengo kuwa kama kichekesho cha kunegesha story zao. Huwa najisikia vibaya sana kuona picha za wazee maskini vijijini zinavyotumika kama viburudisho au kejeli.
pole sana
 
Mmmmmm na lile la kutumia ndege ya serikali kwenda Madagascar 🇲🇬 na kwenda kuchukua ule uchafu hii Bill nani atalipa?,huyu aliyetugeuza mazuzu alifanikiwa mno kwenye project ile maana side effects zake zinasambaa generations zote
 
Mmmmmm na lile la kutumia ndege ya serikali kwenda Madagascar na kwenda kuchukua ule uchafu hii Bill nani atalipa?,huyu aliyetugeuza mazuzu alifanikiwa mno kwenye project ile maana side effects zake zinasambaa generations zote
Kila ubaya utalipwa
 
Tanzania ni hatari sana kuweka picha yako kwenye mtandao. Sehemu kama Facebook au Instagram unatakiwa uwe makini sana sana na watu unao-share nao picha. Watu wamegeuza umaskini, ulemavu au hitilafu kama mapengo kuwa kama kichekesho cha kunegesha story zao. Huwa najisikia vibaya sana kuona picha za wazee maskini vijijini zinavyotumika kama viburudisho au kejeli.
Hili ni tatizo, yeyote hawezi kuwa unalilia kudai haki zake mbalimbali anazonyimwa na serikali, huku yeye akikandamiza haki za wengine, huku ni kutojitambua.
 
Back
Top Bottom