Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Nchi yetu ina tabia ya kuhabarisha mambo makubwa nusunusu kama vile sisi tunaohabarishwa hatuna akili ya kuhoji na kudadisi.
Profesa Kabudi wakati anakiri kuwa alidanganya (kwa makubaliano na Magufuli) watu wamemshushia lawama nyingi yeye na bosi wake kuwa walileta taharuki kwa watu na wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria na kimaadiĺi.
Jambo linalo shangaza ni ukimya wa watu wote juu ya kuhusika au kulijua hili aliyekuwa Makamu wa Rais wa wakati huo ambaye sasa ndiye Rais.
Jee hakulijua hili wakati alikuwa makamu? Ana kwepaje lawama hizi za udanganyifu na kuleta taharuki?
Kwa vile yeye alikuwa 2 i/c wa Magufuli na sasa ni Rais kamili ni wajibu wake kutoka hadharani na kuliweka vizuri jambo hili na kuliombea msamaha kuwa halita rudia ili kujenga imani ya watu kuwa hatuta pigwa fix tena.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Profesa Kabudi wakati anakiri kuwa alidanganya (kwa makubaliano na Magufuli) watu wamemshushia lawama nyingi yeye na bosi wake kuwa walileta taharuki kwa watu na wanapaswa kuchukuliwa hatua za kisheria na kimaadiĺi.
Jambo linalo shangaza ni ukimya wa watu wote juu ya kuhusika au kulijua hili aliyekuwa Makamu wa Rais wa wakati huo ambaye sasa ndiye Rais.
Jee hakulijua hili wakati alikuwa makamu? Ana kwepaje lawama hizi za udanganyifu na kuleta taharuki?
Kwa vile yeye alikuwa 2 i/c wa Magufuli na sasa ni Rais kamili ni wajibu wake kutoka hadharani na kuliweka vizuri jambo hili na kuliombea msamaha kuwa halita rudia ili kujenga imani ya watu kuwa hatuta pigwa fix tena.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app