Uchaguzi 2020 Profesa Kabudi achukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kuwania ubunge Kilosa

Ila wazee wanasiasa wanaitafuna sana hii nchi ndo maana kila mtu nae anakimbilia huko.

Fikiria kila baada ya maiaka 5 wanachukua mamilioni ya hela kwa kustaafu halafu wanagombea tena mchezo ni huo huo wengine mpaka wanafia kwenye madaraka,hapo bado mishara ya juu na posho na magari ya bei mbaya.

Huku kuna watumishi wa umma wanafanya kazi miaka zaidi 30 lakini akistaafu anapata kiinua mgongo cha mashaka na u aweza kuta kinalingana na mishara ya miezi 3 ya mbunge.
 
Kongore sana kwa wana kilosa naona siku ile Jiwe aliwaelewa vema
Kafosi kuonekana wa kilosa ila si wa kilosa, juzi Rais anawaambia wana kilosa mwanenu huyu nani..nani professa nani ( anajifanya hajui) wakamjibu profesa J
 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi-CCM kuwania ubunge jimbo la Kilosa.

Pia soma > Uchaguzi 2020 - Wananchi wa Kimamba wamhakikishia Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao. Atangaza nia

Mzee wa Jalalani akiendelea na kismart chake anaweza kupeperusha Bendera 2025 ...... Maana inaelekea Yohana anamuhusudu sana!!
 
Ninavyojua huyu Professor ni Mgogo na Kilosa ni ya Waluguru, kulikoni? Au Kilosa nayo ni kama majimbo ya Dar es Salaam?

Mwenye kujua siri ya urembo atujuze tafadhali.
 
Labda ni mgogo wa kilosa kamilivyo kwa Kessy wa Nkasi,Magdalena Sakaya wa Urambo na Susan Kiwanga wa hukoeMoro
 
Ninavyojua huyu Professor ni Mgogo na Kilosa ni ya Waluguru, kulikoni? Au Kilosa nayo ni kama majimbo ya Dar es Salaam?

Mwenye kujua siri ya urembo atujuze tafadhali.
Siyo Mgogo. Ni wa Singida Ni mtoto wa Askofu... Labda alizakiwa au kukulia huko.

Lakini Hii ni Tanzania. Haijalishi unatoka wapi kama watu wanakuoenda na wafikiri una uwezo wa kuwatumikia. Wenje kwao Mara lakini alitumikia Mwanza. Hiyo ndiyo Tanzania aliyoitaka na aliyokuwa ajiijenga Nyerere.
 
Ninavyojua huyu Professor ni Mgogo na Kilosa ni ya Waluguru, kulikoni? Au Kilosa nayo ni kama majimbo ya Dar es Salaam?

Mwenye kujua siri ya urembo atujuze tafadhali.
Mkuu umepotea sana. Morogoro yapo makabila mengi tu na mengine pengine huyafahamu. Vile vile Dodoma kuna makabila mengi tu licha ya Wagogo. Mfano Dodoma kuna Warangi hawa wapo wengi Wilaya ya Kondoa lakini wapo kila sehemu mkoani Dodoma, Wagogo wapo, Waruguru wapo, Wahehe wapo hasa sehemu za Wota, Kibakwe, Mpwapwa, Kilosa, Mbuga, wanging'ombe nk. Wakaguru wapo Mlali na mipakani mwa mkoa wa Morogoro. Wamasai wapo vile vile sehemu za Pandambili kuelekea kaskazini kupakana na Arusha nk. Dodoma ina makabila mengi sana lakini wengi ni Wagogo.

Prof Kabudi was born in Singida, Singida Region. He first attended Kilimatinde Primary school in 1964 then from 1965 to the end of 1966 he went to Kitete Primary school. In 1967 he finally transferred to Berega Primary School before completing his CPEE at Mvumi Mission Primary School. In 1971 he joined The Tosamaganga Secondary School where he earned CSEE of Ordinary level education. From 1975 to 1976 he completed his ACSEE education at Milambo Secondary School.

Kabudi went to the University of Dar Es Salaam from 1980–1983 where he obtained his LLB. He furthered his studies in the same institution from 1984–1986 where he was awarded LLM. After that he attended Freie Universität Berlin where he obtained a Juris Doctor

Hiyo ni kutoka Wikipedia.
 
Back
Top Bottom