Profesa jay, umeyasikia matusi ya clouds fm?

Profesa jay, umeyasikia matusi ya clouds fm?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,900
Reaction score
37,668
Mimi na wewe unaye soma uzi huu tunajua kwamba The Heavy Weight MC , Kaka Mkubwa Profesa Jay, hayupo katika good terms na BLAUZ FM. # Team JotoHasira. Basi leo kwenye kipindi chao cha bongo fleva, kulikuwa na segment ya kupiga nyimbo za zamani. Adam Mchomvu akiwa mtamboni, alianza kwa kucheza kipande cha wimbo Bongo Dar Es salaam wa Profesa Jay pale anapo sema YO YO YO YO... Kipande kilikuwa kinarudiwa karibu dakika tatu , halafu ghafla kati kati ya kipande, akaachia ule wimbo unaoitwa WANAMWITA KAKA POA HUYU JAMAA.. kipande hiki pia kilikuwa kinarudiwa mara nyingi nyingi, halafu kati kati ya kipade hicho, kinawekwa tena kipande cha Profesa Jay..Hii iliendelea kwa kama dakika nane hivi, then zikafuatia nyimbo zingine...

Kwa mtazamo wangu, hili ni dongo kwa Profesa Jay, kitaalamu madongo ya namna hii huwa yanaitwa INNUENDO ama SUBLIMINAL, yaani unamtusi mtu kwa kutumia indirect way.


MIMI TU NDIO NIMESIKIA NA KUELEWA HIVYO, NA MIMI TU NDIO NINAYE WALETEA HABARI HII.
 
Adam mchomvu yeye ndiye aliyekaa kikaka poa kapo kama ka..s..h..o..g..a hv.
 
Mimi na wewe unaye soma uzi huu tunajua kwamba The Heavy Weight MC , Kaka Mkubwa Profesa Jay, hayupo katika good terms na BLAUZ FM. # Team JotoHasira. Basi leo kwenye kipindi chao cha bongo fleva, kulikuwa na segment ya kupiga nyimbo za zamani. Adam Mchomvu akiwa mtamboni, alianza kwa kucheza kipande cha wimbo Bongo Dar Es salaam wa Profesa Jay pale anapo sema YO YO YO YO... Kipande kilikuwa kinarudiwa karibu dakika tatu , halafu ghafla kati kati ya kipande, akaachia ule wimbo unaoitwa WANAMWITA KAKA POA HUYU JAMAA.. kipande hiki pia kilikuwa kinarudiwa mara nyingi nyingi, halafu kati kati ya kipade hicho, kinawekwa tena kipande cha Profesa Jay..Hii iliendelea kwa kama dakika nane hivi, then zikafuatia nyimbo zingine...

Kwa mtazamo wangu, hili ni dongo kwa Profesa Jay, kitaalamu madongo ya namna hii huwa yanaitwa INNUENDO ama SUBLIMINAL, yaani unamtusi mtu kwa kutumia indirect way.


MIMI TU NDIO NIMESIKIA NA KUELEWA HIVYO, NA MIMI TU NDIO NINAYE WALETEA HABARI HII.

huyu dogo kwa Prof. ni bwana mdogo sana kwa almost kila kitu! kwa sisi wakazi wa Arusha Adam Mchomvu tunamjua sana..toka akisoma pale shule ya Kaloleni sekondari! ameanza kupata umaarufu wakati akina Prof tayari walikuwa wameshajulikana zamani sana! na yeye akiwa ni mmoja wa mshabiki mkubwa wa akina jay na wenzake. Nakumbuka kulikuwa na show moja ilifanyika hapa Arusha(triple A)... Inspecta Haroun na wenzake wakiwa juu enzi hizo, Ikafika zamu ya Inspecta Harun, akiwa stejini akavua rubber yake na kuirusha kwa mashabiki. nakumbuka Adam Mchomvu aliipigania mpaka akaipata! enzi hizo alikuwa wa kawaida saaana! sasa sijui hii kiburi ya kuanza kudharau wakubwa wake imeanza lini!
 
Adam Mchomvu naye anaimba anampaka mix tape, sasa wanasema msanii mpaka atoke inabidi apate air-time za kutosha clouds, sasa wampigie promo huyu adam tuone kama atafika level za kina prof j, Msameen Jaman Maanake Watu Wa Mawingu Weng Wao Hajieeelew
 
Aiseee mimi kusikiliza hyo redio siwez kila mtu anaongea kama mwenzake kinachobadilika ni sauti lakini style ni ileile mara ushanfahamu bwana,mzeeeeeeeeeeia,au sio bana na upuuuz mwingine kama huo na kuhusu huyo adam mchovu alichofanya ni kwamba he just obey his master na hata akiambiwa atoe 0713 na mkubwa wake ruge atamuuliza tu ebana braza from another mother ni hapahapa or mpaka twende lodge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom