Profesa Janabi atambulishwe rasmi bungeni

Profesa Janabi atambulishwe rasmi bungeni

Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa. Pia akabidhiwe ilani na bendera ya Chama.
Ilani na bendera ya chama havina mpact WHO. Even cabinet ya WHO/UN haina interest na siasa, kama unakubalika na una vigezo utachaguliwa full stop, hakuna kona kona mle
 
Yule mwingine Marehemu Dk. Ndunguliele RIP yeye alitumia mbinu gani mpaka akashinda?

Maana sikuona hata kampeni zozote mahala popote zaidi ya kusikia tu kashinda

Huyu yeye analaana? kiasi cha kila mahali afukizwe uvumba na kampeni kila pahala?

RIP JPM
 
Yule mwingine Marehemu Dk. Ndunguliele RIP yeye alitumia mbinu gani mpaka akashinda?

Maana sikuona hata kampeni zozote mahala popote zaidi ya kusikia tu kashinda

Huyu yeye analaana kiasi cha kila mahali afukizwe uvumba na kampeni kila pahala?
Huyu kibaraka wa mama Hashindi hata kwa Dawa
 
Prof anayechanganya Monosaccharides vs Disaccharides et awe Mkurugenzi wa WHO haya ni Ajabu toka Tanzania
 
1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa.

2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama.
Kumbe akishinda atakuwa mwakilishi wa CCM?
 
1. Ingependeza Prof atambulishwe rasmi kama Mgombea wa nafasi ya Mkurugenzi wa WHO Africa ili kuongeza hamasa.

2. Pia, akabidhiwe ilani na bendera ya Chama.
Kama sisi watanzania wengi hatuangalii hilo bunge kibogoyo, ndio itakuwa hao WHO? Hata hivyo WHO hawalichukulii serious bunge letu.
 
Back
Top Bottom