Kipala
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 3,763
- 699
Harvard Professor Calestous Juma, Born in Kenya, Dies in U.S.
Calestous Juma (Juni 9, 1953 – Desemba 15, 2017) alikuwa mvumbuzi na mtafiti wa sayansi kutoka nchini Kenya aliyefundisha kwenye Chuo Kikuu cha Harvard, Marekani.
Katika maisha yake kama mtafiti na mwalimu wa chuo alishughulika maswali ya sayansi, teknolojia na maendeleo endelevu na hasa maswali ya biotekinolojia na bioanwai. Alikazia njia za kuleta uvumbuzi kwa kilimo barani Afrika
Calestous Juma (Juni 9, 1953 – Desemba 15, 2017) alikuwa mvumbuzi na mtafiti wa sayansi kutoka nchini Kenya aliyefundisha kwenye Chuo Kikuu cha Harvard, Marekani.
Katika maisha yake kama mtafiti na mwalimu wa chuo alishughulika maswali ya sayansi, teknolojia na maendeleo endelevu na hasa maswali ya biotekinolojia na bioanwai. Alikazia njia za kuleta uvumbuzi kwa kilimo barani Afrika