Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,943
Damn
Rest in peace mzee
Rest in peace mzee
Bwana alitoa,bwana ametwaa jina la bwana lihimidiweLala salama baba. Tunakushukuru sana wa huduma Mungu aliyokuwa amekujalia
Uliitumia vyema karama Mungu aliyoiweka ndani yako
Mwendo umemaliza
---
Daktari Bingwa wa Watoto Dr Augustine Massawe wa Furaha Medical amefariki Dunia leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa familia ni kwamba Dkt. Massawe amefariki asubuhi hii katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa kwa matibabu.
Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano kwa umma Muhimbili, Aminiel Aligaesha amethibitisha kutokea kwa kifo hicho, “Amefariki saa mbili na nusu asubuhi leo.
Mtoto mkubwa wa marehemu Dk Furaha Augustine amesema baba yake alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upumuaji.
“Baba amefariki asubuhi ya leo alikuwa anaumwa na alilazwa Muhimbili kwa zaidi ya wiki na leo saa tatu asubuhi Mungu akamchukua,” amesema Dk Furaha ambaye ni daktari wa magonjwa ya kina mama na uzazi.
Sasa hivi watu wanajiendea tu! Hamna msisitizo wa barakoa wala sanitizer. Madaladala yanajaa hamna tahadhari yoyoteMlimwita 'mjinga/nchi inaongozwa na washamba' kwa maamuzi ya kuhimiza kumtegemea Mungu kwanza na mengineyo. Ngoja tuwaone wajanja wa kutegemea akili zao na si Mungu watakapo tufikisha kama Taifa.
Lala salama baba. Tunakushukuru sana wa huduma Mungu aliyokuwa amekujalia
Uliitumia vyema karama Mungu aliyoiweka ndani yako
Mwendo umemaliza 💔💔💔
---
Daktari Bingwa wa Watoto Dr Augustine Massawe wa Furaha Medical amefariki Dunia leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa familia ni kwamba Dkt. Massawe amefariki asubuhi hii katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa kwa matibabu.
Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano kwa umma Muhimbili, Aminiel Aligaesha amethibitisha kutokea kwa kifo hicho, “Amefariki saa mbili na nusu asubuhi leo.
Mtoto mkubwa wa marehemu Dk Furaha Augustine amesema baba yake alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upumuaji.
“Baba amefariki asubuhi ya leo alikuwa anaumwa na alilazwa Muhimbili kwa zaidi ya wiki na leo saa tatu asubuhi Mungu akamchukua,” amesema Dk Furaha ambaye ni daktari wa magonjwa ya kina mama na uzazi.
Kwamba ulkua unatudharau madaktari2005 nilipata huduma toka kwa huyu mzee pale morocco. Binti yangu aliyezaliwa tu akiwa na siku kama 6. Alikuwa akilia sana muda wote. Akipewa nyonyo ananyonya baada ya muda kidogo analia tena.
Nikampeleka pale. Sitakaa nidharau taaluma ya mtu. Hata akiwa mkuluma.
Mzee masawe akamwambia wife akamue maziwa ajazi kikombe kilikuwa pale. Kukamua kumbe mama maziwa hana na mtoto analia sababu hashibi. Nikaanza kuingia super market kununua mazuwa ya kopo. Kwa sasa ni mkubwa na yupo form two pale St marie Eugen.
Pumzika kwa amani mzee wangu Masawe.
Dr. Umechanjwa??Swali chokonozi wakati ule tulipokuwa tuna mtegemea Mungu kwanza na kuhimizwa hivyo na kipindi cha sasa ambapo tunahimizwa kutegemea barakoa, chanjo na akili zetu wapi misiba imekuwa mingi zaidi? Jibu mnalo nafikiri na mjisahihishe ili pengine huruma ya Mungu na Neema yake ituokoe kama Taifa.
Naona wanazidi ku-edit heading ili kutishaUpumuaji tena????
Tupige chanjo jamanniMwaka huu Mungu atutie nguvu
Nilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.
Apumzike kwa amaniAtakuwa ametimiza miaka ambayo Mungu aliwaahidia wazee wetu Ibrahim na Isaka. Umri wa mwanadam ni miaka 70 au miaka 80 kama ana nguvu! Professor amaumaliza mwendo!
Lala salama baba. Tunakushukuru sana wa huduma Mungu aliyokuwa amekujalia
Uliitumia vyema karama Mungu aliyoiweka ndani yako
Mwendo umemaliza 💔💔💔
---
Daktari Bingwa wa Watoto Dr Augustine Massawe wa Furaha Medical amefariki Dunia leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa familia ni kwamba Dkt. Massawe amefariki asubuhi hii katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa kwa matibabu.
Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano kwa umma Muhimbili, Aminiel Aligaesha amethibitisha kutokea kwa kifo hicho, “Amefariki saa mbili na nusu asubuhi leo.
Mtoto mkubwa wa marehemu Dk Furaha Augustine amesema baba yake alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upumuaji.
“Baba amefariki asubuhi ya leo alikuwa anaumwa na alilazwa Muhimbili kwa zaidi ya wiki na leo saa tatu asubuhi Mungu akamchukua,” amesema Dk Furaha ambaye ni daktari wa magonjwa ya kina mama na uzazi.
Kwa kweli maana vijana humu hawana adabu kabisa.Huu msiba umegusa watu wengi sana. Pole kioekee kwako mkuu.
Lakini inabidi tuwaombe JF upewe cheo maalum. Distinguished. Ukute na yeye tulikua nae hapa jukwaani bila kujua.
Halafu si Yule Dr alifokewa asifiche kama Corona aseme sio anavunga tatizo la upumuaji. Maisha yanaenda kasi sanaUpumuaji tena????
Sasa hivi watu wanajiendea tu! Hamna msisitizo wa barakoa wala sanitizer. Madaladala yanajaa hamna tahadhari yoyote
Good sense of humour. You will live to be hundred.Mimi kama Joe Biden,"barely alive"
Hatari sanaMwaka huu Mungu atutie nguvu
Hilo pia lawezekana.tumuombe mungu atunusuru.Apumzike Kwa Amani
Huu upepo mbaya sijui unakata lini,mwisho tutasikia mtu mzito mwingine kaondoka.