TANZIA Profesa Augustine Massawe, Daktari bingwa wa Magonjwa ya Watoto afariki dunia

Lala salama baba. Tunakushukuru sana wa huduma Mungu aliyokuwa amekujalia

Uliitumia vyema karama Mungu aliyoiweka ndani yako

Mwendo umemaliza

---
Daktari Bingwa wa Watoto Dr Augustine Massawe wa Furaha Medical amefariki Dunia leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa familia ni kwamba Dkt. Massawe amefariki asubuhi hii katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa kwa matibabu.

Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano kwa umma Muhimbili, Aminiel Aligaesha amethibitisha kutokea kwa kifo hicho, “Amefariki saa mbili na nusu asubuhi leo.

Mtoto mkubwa wa marehemu Dk Furaha Augustine amesema baba yake alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upumuaji.

“Baba amefariki asubuhi ya leo alikuwa anaumwa na alilazwa Muhimbili kwa zaidi ya wiki na leo saa tatu asubuhi Mungu akamchukua,” amesema Dk Furaha ambaye ni daktari wa magonjwa ya kina mama na uzazi.

Bwana alitoa,bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe
 
Mlimwita 'mjinga/nchi inaongozwa na washamba' kwa maamuzi ya kuhimiza kumtegemea Mungu kwanza na mengineyo. Ngoja tuwaone wajanja wa kutegemea akili zao na si Mungu watakapo tufikisha kama Taifa.
Sasa hivi watu wanajiendea tu! Hamna msisitizo wa barakoa wala sanitizer. Madaladala yanajaa hamna tahadhari yoyote
 
Lala salama baba. Tunakushukuru sana wa huduma Mungu aliyokuwa amekujalia

Uliitumia vyema karama Mungu aliyoiweka ndani yako

Mwendo umemaliza 💔💔💔

---
Daktari Bingwa wa Watoto Dr Augustine Massawe wa Furaha Medical amefariki Dunia leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa familia ni kwamba Dkt. Massawe amefariki asubuhi hii katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa kwa matibabu.

Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano kwa umma Muhimbili, Aminiel Aligaesha amethibitisha kutokea kwa kifo hicho, “Amefariki saa mbili na nusu asubuhi leo.

Mtoto mkubwa wa marehemu Dk Furaha Augustine amesema baba yake alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upumuaji.

“Baba amefariki asubuhi ya leo alikuwa anaumwa na alilazwa Muhimbili kwa zaidi ya wiki na leo saa tatu asubuhi Mungu akamchukua,” amesema Dk Furaha ambaye ni daktari wa magonjwa ya kina mama na uzazi.

Upumuaji tena????​

 
2005 nilipata huduma toka kwa huyu mzee pale morocco. Binti yangu aliyezaliwa tu akiwa na siku kama 6. Alikuwa akilia sana muda wote. Akipewa nyonyo ananyonya baada ya muda kidogo analia tena.
Nikampeleka pale. Sitakaa nidharau taaluma ya mtu. Hata akiwa mkuluma.
Mzee masawe akamwambia wife akamue maziwa ajazi kikombe kilikuwa pale. Kukamua kumbe mama maziwa hana na mtoto analia sababu hashibi. Nikaanza kuingia super market kununua mazuwa ya kopo. Kwa sasa ni mkubwa na yupo form two pale St marie Eugen.

Pumzika kwa amani mzee wangu Masawe.
Kwamba ulkua unatudharau madaktari
 
Swali chokonozi wakati ule tulipokuwa tuna mtegemea Mungu kwanza na kuhimizwa hivyo na kipindi cha sasa ambapo tunahimizwa kutegemea barakoa, chanjo na akili zetu wapi misiba imekuwa mingi zaidi? Jibu mnalo nafikiri na mjisahihishe ili pengine huruma ya Mungu na Neema yake ituokoe kama Taifa.
Dr. Umechanjwa??
 
Nilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.

Huu msiba umegusa watu wengi sana. Pole kioekee kwako mkuu.

Lakini inabidi tuwaombe JF upewe cheo maalum. Distinguished. Ukute na yeye tulikua nae hapa jukwaani bila kujua.
 
How does this related to siasa? Mods peleka huu uzi hoja mchanganyiko
 
Lala salama baba. Tunakushukuru sana wa huduma Mungu aliyokuwa amekujalia

Uliitumia vyema karama Mungu aliyoiweka ndani yako

Mwendo umemaliza 💔💔💔

---
Daktari Bingwa wa Watoto Dr Augustine Massawe wa Furaha Medical amefariki Dunia leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa familia ni kwamba Dkt. Massawe amefariki asubuhi hii katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa kwa matibabu.

Mkuu wa Kitengo cha mawasiliano kwa umma Muhimbili, Aminiel Aligaesha amethibitisha kutokea kwa kifo hicho, “Amefariki saa mbili na nusu asubuhi leo.

Mtoto mkubwa wa marehemu Dk Furaha Augustine amesema baba yake alikuwa anasumbuliwa na tatizo la upumuaji.

“Baba amefariki asubuhi ya leo alikuwa anaumwa na alilazwa Muhimbili kwa zaidi ya wiki na leo saa tatu asubuhi Mungu akamchukua,” amesema Dk Furaha ambaye ni daktari wa magonjwa ya kina mama na uzazi.



Inabidi tuache unafiki na tutumie jina Corona tatizo la upumuaji ni ugojwa gani!. Watu wengi wanakufa kwasababu ya uongo na kufikiri hakuna ugojwa
 
Sasa hivi watu wanajiendea tu! Hamna msisitizo wa barakoa wala sanitizer. Madaladala yanajaa hamna tahadhari yoyote

Msisitizo umehamia kwenye chanjo ambayo na yenyewe kwanza haitoshi watu wote na watengenezaji wanahofia asilimia za uwezo wake kupungua kiasi cha kufikiria kuwapa watu chanjo nyingine booster.

Tahadhari muhimu sana, Mungu ana sehem kubwa sana ikiwa tutampa nafasi yake na sie tukafanya kwa sehem yetu.
Sasa tumebadili hata salam, hatutaji Mungu ila jina la jamhuri ya muungano.
 
Back
Top Bottom