Mpenda watu na hana makuu, gonga LIKE ikiwa umependa anavyojichanganya............Hebu fikiria ingalikua Mkulu au Obama.............(hadi kugonga menyu)
View attachment 101042
kuna ndizi hapo anaibanahahahhahahahahahahahahahha mbona profesa wa wali ooops wa Lipuuuuumbaaa anakula wali ka anameza dawa chungu??? halafu huyu shekhe wa mbele kushoto alievaa kama brown mpauko mbona anaficha maji ya kunya kwenye makalio????
dah, una jicho kali sana, nadhani anaji-balancehahahhahahahahahahahahahha mbona profesa wa wali ooops wa Lipuuuuumbaaa anakula wali ka anameza dawa chungu??? halafu huyu shekhe wa mbele kushoto alievaa kama brown mpauko mbona anaficha maji ya kunya kwenye makalio????
dah, una jicho kali sana, nadhani anaji-balance
sawa kabisa mkuu, haloafu ni kama bado anadai, namuangalia Mtatiro anaonekana hana uzoefu kabisaumeangalia hot pot la prof?kafuta lote kabisa na wala jafunika kwa tamaduni za kigeni ukiacha chombo wazi hivyo ina maaana hujatizika unataka kuongezwa zaidi.