Mzee Prof Wamba dia Wamba ,mpambanaji enzi za Mobutu enzi hizo ikiitwa Zaire
Katika Second Congo War ,Prof Wamba alikua moja ya kiongozi wa RCD Goma
Nadhani wajuzi watakuja ongezea wasifu wake mwanaharakati ,mpambanaji na mwanasiasa mahiri Africa
R.I.P Prof Wamba , Mzee wangu ,jirani yangu , Pole sana James Wamba
Cc@zitto junior
mng'ato
Sent using
Jamii Forums mobile app