Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,153
- 13,223
uongo ni upi hapouongo!
kama huna la kuandika si unabana tu. Unanikumbusha hadithi ya mwizi sugu. Baada ya kukaa muda bila shughuli anajiibia shati lake mwenyewe.
uongo ni upi hapouongo!
kama huna la kuandika si unabana tu. Unanikumbusha hadithi ya mwizi sugu. Baada ya kukaa muda bila shughuli anajiibia shati lake mwenyewe.
Mkuu yule mama muleba hatakiwi,ndio maana kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa cdm walikomba mitaa 25 kati ya 28 utaona ni jinsi gani ccm hawana chao muleba
Magufuli alishawahi kuwaambia wakazi wa Kigamboni kuwa kama hawawezi kulipa nauli mpya ya Pantoni wapige mbizi. Hakika hawa watawala huwa wanatoa kauli za hovyo, zenye kuleta maudhi na machukizo mbele ya jamii lakini wananchi huwa hawachukulii serious hata kidogo;
Rejea kauli kama:
Sh. Bilioni Moja ni VIJISENTI; (Andrew Chenge)
Ni bora wananchi wale nyasi ili ndege ya rais inunuliwe; (Basil Mramba)
CCM itashinda hata kwa goli la mkono; (Nape Nnauye),
Uongo!
Kama huna la kuandika si unabana tu. Unanikumbusha hadithi ya mwizi sugu. Baada ya kukaa muda bila shughuli anajiibia shati lake mwenyewe.
Amabare - MaweChachu Ombara "amabare ga abanyansi" ina maana gani?
Uongo!
Kama huna la kuandika si unabana tu. Unanikumbusha hadithi ya mwizi sugu. Baada ya kukaa muda bila shughuli anajiibia shati lake mwenyewe.
Mbona kwenye hiyo video sioni alipodhalilika Prof Tibaijuka! Wahuni wachache wamepewa pombe wakashout mbona umati ulikuwa nyombi na umetulia? Hizi kampeni chafu zitaitumbukiza nchi kwenye machafuko
hivi huyu dada tibaijuka ameolewa ?