Prof. Thornton(Executive Chairman Barrick): I feel optimistic that we will reach a resolution

So far it's not a win win situation, so a good statement from the Executive Chairperson.
They will not compromise their right for the sake of one side to win! That is my interpretation anyway! If the win win situation is to pay 300 trillion, then they will pay and VICE VERSA
 
Hapa ndipo unapo wish tungekuwa na serikali kama ya wachina!
Never know labda baba/mama /kaka/dada wangelikuwa wa kwanza kukatwa vichwa, never say so, hujui atakayeangukiwa ni nani anayekuhusu. HAKI ITENDEKE
 
Nia ilikuwa kujiridhisha..tumejiridhisha kuwa walitulalia....je waendelee hivyo hivyo....Nadhani Hapana...Mungu ametufungulia mlango tena mpana na wa kufaa sana.
 
Never know labda baba/mama /kaka/dada wangelikuwa wa kwanza kukatwa vichwa, never say so, hujui atakayeangukiwa ni nani anayekuhusu. HAKI ITENDEKE
Hawa lazima wangekuwa wa kwako kwa sababu ya kupenda kusafisha watu!
Hakuna dhambi kubwa kama kuifilisi nchi yako kiasi hicho! Alafu majitu yenyewe yamepewa peanuts compared na hao wazungu walivyo beba! Hiyo ni LAANA ya hali ya juu! Sasa wewe na akili yako kama ya inzi ni kupenda kubisha kila kitu! HAYA KIMBILIA CHOONI RETIRED!
 
Hawa lazima wangekuwa wa kwako kwa sababu ya kupenda kusafisha watu!
Hakuna dhambi kubwa kama kuifilisi nchi yako kiasi hicho! Alafu majitu yenyewe yamepewa peanuts compared na hao wazungu walivyo beba! Hiyo ni LAANA ya hali ya juu! Sasa wewe na akili yako kama ya inzi ni kupenda kubisha kila kitu! HAYA KIMBILIA CHOONI RETIRED!
Na mama yako chooni ninaye
 
Ukute aliye andika Press Release hajui lugha iliyotumika
Au Rais hakuelewa lugha iliyotumika
Au Rais kataka kutudanganya kuwa amekubali kulipa

Ukimsikiliza jamaa wa Barrick karudi mara 2 kuwa win win situation
Teh teh
Halaf wewe jamaa.

Mimi pia kabla ya kumsikia huyu prof wa Barick na Pres Magufuli nilidhani wamekubali kulipa kwa mujibu wa press release ya Ikulu. Kumbe Msigwa nae kawa msanii. Apunguze maneno na mbwembwe za uandishi azingatie uhalisia
 
Teh teh
Halaf wewe jamaa.

Mimi pia kabla ya kumsikia huyu prof wa Barick na Pres Magufuli nilidhani wamekubali kulipa kwa mujibu wa press release ya Ikulu. Kumbe Msigwa nae kawa msanii. Apunguze maneno na mbwembwe za uandishi azingatie uhalisia
Kwani mnafahamu walichojadili ndani jamani. Tusubir matokeo. Manake ata mwanzo kuna ambao walisema kua rais atalitia taifa hasara kwa kuzuia mchanga leo hii mzungu kaja mwenyewe. Mmekuja na hoja nyingine za kukebehi. Ombi langu. Vijana tue calm hili ni taifa letu ote sio la chama chochote eti mnaanza leta hoja za lugha hao waliokua wanajua kingereza vizuri wamelifanyia nn taifa zidi ya kutufanya kama makapuku na watu kufa kwa kukosa dawa mahospitalini. AKILI HAIPIMWI KW LUGHA.
 
Mazungumzo yatalenga win win situation. That's all I can say. Naheshimu hapo alipofikia mh rais. Mwezi mmoja nyuma hatukuwa hapa, lakini sasa tuna pa kuanzia. Halafu tunabeza kama ilivyogeuka kuwa desturi ya hiki kizazi cha nyoka. Siasa zimetutia upofu kiasi kwamba hatuoni. Taifa limemeguka vipande vipande
I entirely agree with you mkuu. Siasa tumeweka mbele kuliko maendeleo
 
Kwani mnafahamu walichojadili ndani jamani. Tusubir matokeo. Manake ata mwanzo kuna ambao walisema kua rais atalitia taifa hasara kwa kuzuia mchanga leo hii mzungu kaja mwenyewe. Mmekuja na hoja nyingine za kukebehi. Ombi langu. Vijana tue calm hili ni taifa letu ote sio la chama chochote eti mnaanza leta hoja za lugha hao waliokua wanajua kingereza vizuri wamelifanyia nn taifa zidi ya kutufanya kama makapuku na watu kufa kwa kukosa dawa mahospitalini. AKILI HAIPIMWI KW LUGHA.
Mkuu mimi sijakebehi ila nasema Mwandishi wa rais kapotosha kwenye press release yake.Alichokiongea Magufuli na yule professor wa Barrick ndio kiko sahihi.

BTW tupo pamoja
 
Back
Top Bottom