Threesixteen Himself
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 8,223
- 7,993
!
!
Dakika tano za ukimya za maombolezo Tafadhali, sheria itafanyiwa mabadiliko
!
Dakika tano za ukimya za maombolezo Tafadhali, sheria itafanyiwa mabadiliko
Washitaki kwani mmevunja mkataba? Halafu usifikiri wazungu wana akili za kenge kama nyie kukurupuka hovyoUkiona mkoloni ameamua "kuyaongea" na sio "kuwashitaki"....ujue ameshikwa pabaya....hongera rais kwa kuchukua drastic measures...
Nimeamini... "sadism is inevitable when the situation is alarming".....
Hapo unaelekea kufukua makaburi, ambayo mhe magufuli amekataa katakata kuyazungumziaNdio utawala bora huo. Kuna mijitu ilisaini mkataba hotelini London
Sio kosa la msigwa , yeye ni mtekelezaji tu wa maelekezo ya bosi wake.Teh teh
Halaf wewe jamaa.
Mimi pia kabla ya kumsikia huyu prof wa Barick na Pres Magufuli nilidhani wamekubali kulipa kwa mujibu wa press release ya Ikulu. Kumbe Msigwa nae kawa msanii. Apunguze maneno na mbwembwe za uandishi azingatie uhalisia
Prof kaja bongo kuangalia usengerema wanaofanyiwa vijana wakeWashitaki kwani mmevunja mkataba? Halafu usifikiri wazungu wana akili za kenge kama nyie kukurupuka hovyo
Kwahiyo umemsaliti Tundu Lisu na wenzako wa team "tutashitakiwa"?Washitaki kwani mmevunja mkataba? Halafu usifikiri wazungu wana akili za kenge kama nyie kukurupuka hovyo
Kwahiyo umemsaliti Tundu Lisu na wenzako wa team "tutashitakiwa"?
Sio kosa la msigwa , yeye ni mtekelezaji tu wa maelekezo ya bosi wake.
Bosi wake lugha ya malkia imemuacha njia panda akaamua kuja kuwa hongopea watanzagiza wasojitambua.