Prof. Sospeter Muhongo VS Dr. Peter Slaa 2015!!

Dk slaa hauwez kumlngansha na wazs wa ccm,dk slaa vs lazma uunganshe mawazr wote wa jk

.......
Ni sawa na Mawaziri wote wa Kikwete katika lipi. Kufikiri au kutenda?
 
kwa hiyo kumbe wewe tunakubaliana kwamba tatizo ni watu(wanaochumia matumbo ) na si taasisi! basi tunatakiwa tushirikiane kila mtu kwa nafasi yake kupinga hao watu.......

Watu nia tatizo ila CHAMASUMU(JANI LA TUMBAKU/Chama Cha Mafisadi)ndio janga kuu,hiki ndo kiendeleza magonjwa DAWA ni kukiondoa na wenye anguvu hiyo ni watu hao hao,so tu-ungane na tuwakatae hao wachumia tumbo na chama chao.
 
Kwani Prof. Muhongo ameonesha nia ya kuutaka urais wa TZ?
Kama sivyo sidhani kama ni sahihi kumjadili kwa kulinganisha
na Dk. Slaa. Huu ni mtazamo wangu tu...
 
Watanzania hatuna viongozi ... wote wamekaa kidizaini. Hawana la maana ni mikelele tu isiyo na mpango wowote.
Na miananchi tulivyo wapumbavu tunashangilia chochote hata kama hakina maana kitakuwa na washabiki.

Mimi kati ya hao wawili simchagui yeyote yule kwa sababu hawana cha maana wanachofanya wanatupigia kelerle tu zisizo na mpango .... hawaeleweki wote hao!!
 
muhongo alichimbiwa biti na yule bibi spika wa bunge akatoa mimacho kwa woga ... teh teh teh
Ni hakika kabisa,bi.kiroboto alimpeleka puta pale bungeni. kwa mujibu wa CNN Dr.Slaa akilitumia jeshi la makamanda wa CHADEMA amesababisha ccm-(wafuga majangiri, mafisadi, wote wana magamba wakashindwa kuvuana) wabadilishe sekretarieti ya chama chao mara kadhaa.
Labda Prof. Muhongo alinganishwe na Lowassa, Mwakyembe, Magufuli,Membe, Sitta).Dr.Slaa alinganishwe na chama chote cha ccm hapo ndiyo utakuwa unamtendea haki Dr.Slaa.
 
Kwani Prof. Muhongo ameonesha nia ya kuutaka urais wa TZ?
Kama sivyo sidhani kama ni sahihi kumjadili kwa kulinganisha
na Dk. Slaa. Huu ni mtazamo wangu tu...
Bishop Hiluka angalau wewe umejenga hoja. Hata kama hajawahi kuutaka Urais haizuii wengine kufikiri kwamba anafaa kuwa Rais!!
 
Last edited by a moderator:
 
Ni sawa na Mawaziri wote wa Kikwete katika lipi. Kufikiri au kutenda?
Jadili sera za vyama na siyo watu!

Isitoshe Prof hajatangaza wala kuonyesha nia ya kuutaka urais!
 

KAMA HAJA KUELEWA akapumzike milele na giza lake.ubinadamu utakuwa ume-mshinda.
 
Jadili sera za vyama na siyo watu!

Isitoshe Prof hajatangaza wala kuonyesha nia ya kuutaka urais!
Chama ni dubwasha gani. Chama si watu na hao watu si ndiyo wanatunga hizo "sera" unazotaka "tuzijadili" bila kuwajadili watakaozitekeleza hizo sera? Mwalimu Nyerere, Ally Hassan Mwinyi, Ben Mkapa, na sasa Jakaya Kikwete wote wameshashika nafasi za Urais. Jee Urais umewafanya wafanane? Inakuwaje U-CCM au U-CHADEMA uwafanye watu wafanane?
 

Hebu tujaribu kuvitumia hivyo vigezo kuwalinganisha Zitto na Slaa. Nani atafaa zaidi 2015?

Nakuacha na tafakuri ya leo ili akili ichangamke kidogo:

“It is better to be hated for what you are than to be loved for what you are not.”
-Andre’ Gide
 
Unaamini kwamba kila aliyeko CCM ni tatizo na kila aliyeko CHADEMA ndiye suluhisho??

Tusiendelee kuwa wajinga kwa kdhani kuwa kuna mtu bora kwa nafasi ya Urais, Rais bora hutengenezwa na kuongozwa na katiba. Kila mtu anamapungufu ya kimtazamo ktk maeneo mbalimbali ya maisha na maendeleo hasa ukizingatia tunatoka ktk jamii zenye misingi tofauti na elimu tofauti. Jambo la msingi ni historia ya uadilifu na uchapakazi wake.
Lakini pia ikumbukwe 'Given the circumstances, one can be anything!' CCM ni chama chenye katiba funyu na malezi mabovu, viongozi wake ni walafi na chaguzi zake zimegubikwa na mizengwe yote isiyofaa, kamwe hatutegemei kupata kiongozi muadilifu kotoka chama hicho .... lakini pia misingi ya sera za nchi zinabebwa na ilani za chaguzi za chama badala ya katiba ya nchi, hivyo chama chenye uzoefu mbovu hakiwezi kuaminiwa kwa mabadiliko mazuri, wala kiongozi wake hawezi kuwa na vazi la haki
 

Mbona umechakachua Post yangu??
 
Usiwe mvivu kufikiri! Ndiyo sababu kuna sera, ilani, mpango kazi nk. Kiongozi bora ni yule anayezingatia malengo ya chama chake! Kwenda nje ya sera za chama kiongozi huyo anastahili kuwajibishwa na hafai! Kwa sababu hata siku moja hakuna atakachokamilisha.
 
kama tatizo sio watu ni ccm; hebu nambie ccm kama chama tatizo lake ni nini(ukiweka mbali watu ambao unasema si tatizo)?.....

Chama ndio chenye TATIZO kwa sera ya kukumbatia MAFISADI kwa faida ya kuficha aibu,hivyo hata awekwe malaika ni kazi bure.
 
Chama ndio chenye TATIZO kwa sera ya kukumbatia MAFISADI kwa faida ya kuficha aibu,hivyo hata awekwe malaika ni kazi bure......

kukumbatia ufisadi ni sera ya chama cha ccm? kwa sababu najua sera za vyama vyote zimeandikwa;hebu niambie hii iko kifungu gani na ni ya mwaka gani?
 
Kwa mfumo wa ccm ukimpa muhongo auongoze na mfumo wa chadema ukaweka jiwe tuh kwangu mimi ni tosha kabisa kuipigia kura chadema,mfumo wa ccm umeoza vibaya sana,muhongo kaingia juzi tu ona leo nayeye alivooza,,
 

Kwani huwezi kujenga hoja bila ya kutumia lugha ngumu? Ni chama gani Tanzania viongozi wake wanafuata sera zake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…