Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.
Wakuu jana nimeangalia mhadhala juu ya katiba ulioendeshwa na Prof. Shivji kupitia ITV, lazima nikiri mzee huyu mbali ya kuwa na weredi wa kupindukia kwenye medani ya sheria na katiba ni mzalendo wa kutukuka. Anaelimisha vizuri sana suala zima la maana na umuhimu wa katiba, historia ya katiba, mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya.
Jana ilikuwa kipindi cha pili mhadhala utaendelea tena jumatano saa tatu kamili usiku, ni live itv. Fuatilieni wakuu.
Nasikia vitakuwa vipindi vitano tu, nawashauri ITV watengeneze DVDs nyingi za mihadhara hiyo na kuziuza kwa bei poa kwani ni rejea muhimu sana kwa wanaopenda kuijua katiba na ambayo haiwezi kupatikana kokote kwingine.
Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.
Wakuu jana nimeangalia mhadhala juu ya katiba ulioendeshwa na Prof. Shivji kupitia ITV, lazima nikiri mzee huyu mbali ya kuwa na weredi wa kupindukia kwenye medani ya sheria na katiba ni mzalendo wa kutukuka. Anaelimisha vizuri sana suala zima la maana na umuhimu wa katiba, historia ya katiba, mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya.
Jana ilikuwa kipindi cha pili mhadhala utaendelea tena jumatano saa tatu kamili usiku, ni live itv. Fuatilieni wakuu.
Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.
jibu ni kwamba ccm na ukweli ni mafuta na maji havichanganywi
mzanzibari mwenye akili nyingi
Hivi kwa nini huyu Profesa hakuteuliwa kwenye tume ya Warioba? Huwa najiuliza sipati jibu.