Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,504
- 113,616
let me tryKama vp ilink na YouTube ili watu wapate live
Mpenyezee kamemo mwambie agusieWanabodi,
Niko hapa Dodoma ndani ya Ukumbi wa LAPF (now PSSSF), kumetokea Breaking News ambapo Prof. PLO Lumumba kutoka nchini Kenya, yuko ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga Nondo za Kufa Mtu Kuhusu African Dev. Agenda na mchango wa CSO kwenye ku push African Development Agenda.
Andamana nami nikudondolee, baadhi ya hizi nondo.
Karibu.
Paskali.
Mpenyezee kamemo mwambie pale kwenye mengineyo basi agusie pie "the reintroduction of monoparty system in Tanzania"Wanabodi,
Niko hapa Dodoma ndani ya Ukumbi wa LAPF (now PSSSF), kumetokea Breaking News ambapo Prof. PLO Lumumba kutoka nchini Kenya, yuko ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga Nondo za Kufa Mtu Kuhusu African Dev. Agenda na mchango wa CSO kwenye ku push African Development Agenda.
Andamana nami nikudondolee, baadhi ya hizi nondo.
Karibu.
Paskali.
Hizo nondo kama utaweka kwa hicho kingereza chake utusaidie kutafsiri kabisa
Umesahau ile P hapalet me try
Naona sisi madaktaree hatuna nafasi hapo ni maprofee tuuu...Ina maana umeenda kwenye hilo tukio ukiwa hujui key speakers ni akina nani? Kwa ueledi wako unaniangusha mkuu wangu.
PLO kuwepo wala siyo breaking news kwani toka mwanzo ilijulikana atakuwepo.
View attachment 1256854
Unforgetable
Habari ya mujini kwa sasa ni chama cha ukweli cha upinzani TanzaniaWanabodi,
Niko hapa Dodoma ndani ya Ukumbi wa LAPF (now PSSSF), kumetokea Breaking News ambapo Prof. PLO Lumumba kutoka nchini Kenya, yuko ndani ya Jiji la Dodoma!, Kumwaga Nondo za Kufa Mtu Kuhusu African Dev. Agenda na mchango wa CSO kwenye ku push African Development Agenda.
Andamana nami nikudondolee, baadhi ya hizi nondo.
Watch Live
Karibu.
Paskali.
Wapi tena huko kaandika kisukuma?dictionary muhimu
Kipofu ni wewe na ukoo wenu wote wa mapanyaInasikitisha kuwa bado kuna watanzania wachahe hawajaelewa falsafa ya "Magufulification of Africa" wakati Africa na dunia ime embrace hiyo philosophy...karibu Prof kufumbua macho baadhi ya vipofu!