Mantissa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 876
- 166
Ndugu wana JF,
Nimejaribu kumfuatilia sana huyu mzee, ambaye ni katibu mkuu wizara ya Mawasiliano, sayansi na Technolojia, ni moja ya watendaji bora katika Tanzania yetu. Huyu mzee ana maadili ya kazi sijapata kuona. Damu yake naona imejaa element za Nyerere, hana makuu kabisa huyu mzee, hana hata chembe ya ufisadi, kama angekuwa mtu wa kupenda siasa, basi huyu Prof, angefaa kutuongoza. wanaofanya wizara hii nadhani mwaweza kukubaliana na mimi jinsi huyu mzee alivyo mtulivu katika kazi yake na hasa maadili katika kazi ya umma. Hata kama akiwa na safari, akibakiza chenji ya nauli lazima irudi ofsini, kitu ambacho viongozi wengi wa TZ hawana huo uzalendo. Utakuta anaenda kutafuta ticket za kuforge ili mradi tu ionekane hiyo pesa ilitumika kihalali. Tukiiga maadili ya kiongozi kama huyu, basi taifa lazima litabadilika.
Tuige mfano wa kiongozi kama huyu. Angekuwa anapenda siasa, ningemshawishi aingie kwenye kinyang'anyiro, but yeye na siasa, mbali mbali, kwake kazi tu.
Nawasilisha
Nimejaribu kumfuatilia sana huyu mzee, ambaye ni katibu mkuu wizara ya Mawasiliano, sayansi na Technolojia, ni moja ya watendaji bora katika Tanzania yetu. Huyu mzee ana maadili ya kazi sijapata kuona. Damu yake naona imejaa element za Nyerere, hana makuu kabisa huyu mzee, hana hata chembe ya ufisadi, kama angekuwa mtu wa kupenda siasa, basi huyu Prof, angefaa kutuongoza. wanaofanya wizara hii nadhani mwaweza kukubaliana na mimi jinsi huyu mzee alivyo mtulivu katika kazi yake na hasa maadili katika kazi ya umma. Hata kama akiwa na safari, akibakiza chenji ya nauli lazima irudi ofsini, kitu ambacho viongozi wengi wa TZ hawana huo uzalendo. Utakuta anaenda kutafuta ticket za kuforge ili mradi tu ionekane hiyo pesa ilitumika kihalali. Tukiiga maadili ya kiongozi kama huyu, basi taifa lazima litabadilika.
Tuige mfano wa kiongozi kama huyu. Angekuwa anapenda siasa, ningemshawishi aingie kwenye kinyang'anyiro, but yeye na siasa, mbali mbali, kwake kazi tu.
Nawasilisha