Prof.Ndalichako uhakiki ufanyike kila baada ya semister aliyo disco

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,969
22,163
Nimesoma huko nyuma moja ya list walizokuwa wakipoteza hela serikali n kulipia waliodisco

Nashauri pamoja NA hili zoezi lao mdahuu wawe wanapelekewa list yawaliodisco then wanafanya surprise checks kila Mara.....

Else tutaingia chaka kulipia waliodisco......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…