and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,103
Haijulikani Daniel Nsanzugwako katokea wapi dakika za jiooni. anakaba Hadi penati. Wajumbe wanalalamika Prof Bahili sana. Toka atoe mitungi ya gesi (kilo 6) hajarudi tena
Umeandika harakaraha kama umeshika Jobo mkononiHaikulikani Daniel Nsanzugwako anakaba Hadi penati. Wajumbe wanalalamika Prof Bahili sana
Unataka kusemaje labda? Kwamba Nsanzugwako anahonga sana wajumbe? Kuna halufu ya rushwa hapa! PCCB mko wapi?Haijulikani Daniel Nsanzugwako anakaba Hadi penati. Wajumbe wanalalamika Prof Bahili sana. Toka atoe mitungu ya gesti hajarudi tena
Kuna ubaya kuchangia uchakavu?Unataka kusemaje labda? Kwamba Nsanzugwako anahonga sana wajumbe? Kuna halufu ya rushwa hapa! PCCB mko wapi?
Hakuna ubaya!! Wasiwasi wangu malengo ya uchakavu yanaweza yakawa ndiyo mabaya!Kuna ubaya kuchangia uchakavu?
Kila mtu apateHakuna ubaya!! Wasiwasi wangu malengo ya uchakavu yanaweza yakawa ndiyo mabaya!
Majitu mengi yanayoshinda kwa kutoa kwingi siyo wa kuwategemea sana!
Huyu bibi ni kati ya watu wabovu zaidi TanzaniaHaijulikani Daniel Nsanzugwako katokea wapi dakika za jiooni. anakaba Hadi penati. Wajumbe wanalalamika Prof Bahili sana. Toka atoe mitungi ya gesi (kilo 6) hajarudi tena
Kasulu hawachagui mtu Kwa rushwa. Prof. Joseph Mbwiliza alikuwa mbunge wa Kasulu nzima kabla ya kugawanya kuwa majimbo 3 ya Sasa alikuwa mjamaa tena maskini mpaka leo. Kwa kumbukumbu ndiye aliyechaguliwa Kwa misimu 2 hakuwa na pesa ya kugawa licha ya usomi wake. Siyo muumini wa siasa za CCM, lakini Prof. Ndalichako hawawahongi maCCM amefanya vyema.Haijulikani Daniel Nsanzugwako katokea wapi dakika za jiooni. anakaba Hadi penati. Wajumbe wanalalamika Prof Bahili sana. Toka atoe mitungi ya gesi (kilo 6) hajarudi tena
Kuna mtu kashika jobo tumecheka kinoma!Umeandika harakaraha kama umeshika Jobo mkononi
Daniel yule wa zamani aliyekuwa Waziri au MwanayeHaijulikani Daniel Nsanzugwako katokea wapi dakika za jiooni. anakaba Hadi penati. Wajumbe wanalalamika Prof Bahili sana. Toka atoe mitungi ya gesi (kilo 6) hajarudi tena
Na harufu yake ya chokoletiUmeandika harakaraha kama umeshika Jobo mkononi
Tishio la Prof ni Dubai yule mmiliki wa Bwami hotel na sio Nsanzugwanko. Nsanzugwanko mnamlia pesa bure. Wajumbe hamna maana kabisa.Haijulikani Daniel Nsanzugwako katokea wapi dakika za jiooni. anakaba Hadi penati. Wajumbe wanalalamika Prof Bahili sana. Toka atoe mitungi ya gesi (kilo 6) hajarudi tena
wapo ofisini......... WANA BETIUnataka kusemaje labda? Kwamba Nsanzugwako anahonga sana wajumbe? Kuna halufu ya rushwa hapa! PCCB mko wapi?