Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,880
siasa ktk Taaluma Haifai
Una maana mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo anabebwa na msikiti?huyu mama ameboronga kabisa! Anabebwa na kanisa tu but ni hewa kabisa
Ninamuunga mkono Prof Ndalichako, HESLB wamefanya kazi kwa mazoea, according to my experience kwa fani ya IT(old is gold or rather experience is the best teacher) kilichotokea pale HESLB ni IT software problem, they should have done a dry run(sample of few students) so as to ensure accuracy and correctness in computing.Waziri wa elimu sayansi na teknolojia Prof. Ndalichako amewatupia lawama bodi ya mkopo elimu ya juu kuwa wanafanya kazi kwa mazoea. Amesema pamoja na kutumia jitiada za kusafisha watumishi bodi hiyo amesema wapo watumishi bado wanafanya kazi kwa mazoea.
Prof. Ndalichako amesema ameyasikia malalamiko kutoka kwa wananchi na anayafanyia kazi na amesema wanafunzi wapewe mikopo semista hii kwa mwaka wa kwanza na wote bila kufuata mean tested.
Amesema lengo la serikali ni kuwapa wote wahitaji. Ameiagiza bodi ya mikopo kuwapa kama mfumo wa zamani na amesema bodi ya mkopo imekosea kuwapa wanafunzi shilingi elfu tano kwa miezi, kama pesa za kujikimu amesema bora kutompa.
Chanzo: TBC
Ila bado n 25000 tu watakaopata uo mkopo ko 66000 n bilabilahatimae ndalichako kasisitiza bodi irudishe 85000 per day kupitia tbc asema hayo....tunakushukuru kwa kutusikiliza pia utusamehe kwa matusi yooote
kwani alkua hajawasiliana na naibu wake? mbona yeye kasema watanywea pombe na kununua TV.au hayo maneno alijitungia mwenyewe!Ndalichako ni mama jasiri. Anaweza kusimamia. Tumuunge mkono
Ukiingiza dini ndo unapo oneshe wewe ki kilaza kiasi ganiWaislamu walivyoandamana kumkataa yule mama alirudishwa kwa sympathy kwa kudhani eti kaonewa.
Alifanya negligence ya matokeo ya mtoto mmoja ikazuka outcry nchi nzima, sasa anamess up na elimu ya nchi nzima maelfu ya watoto wetu lakini bado anadhani kiti kinamtosha?
Sasa ona anaipinduapindua elimu ya vijana wetu kama chapati.
yule mama anapwaya, Ajiuzulu tu au ang'olewe!
Acha udin jombaahuyu mama ameboronga kabisa! Anabebwa na kanisa tu but ni hewa kabisa
Sina neno mkuuMungu wa majeshi ,Mungu wa Ibrahim, Mungu isaka Mungu Wa jakobo tunaomba uturudishie Amina chifupa nasi tukupe Ndaluchako