Hivi karibuni serikali imetangaza rasmi kuwa kuanzia mwaka huu maombi yote yanayohusu kutaka kudahiliwa kujiunga na vyuo kwa kozi yoyote yatatumwa Moja kwa Moja kwenye vyuo husika
Katika hili kuna vyuo vimejiandaa kufaidi kupitia ada ya waombaji Wa vyuo. kama Waziri Wa elimu hatoliona hili na kutoa mwongozo mapema juu ya kiwango maalum cha ada ya maombi watu wategemee kulizwa kwani kuna vyuo vimekata tamaa hivyo wanategemea kupitia ada hii.
Nawasilisha
Katika hili kuna vyuo vimejiandaa kufaidi kupitia ada ya waombaji Wa vyuo. kama Waziri Wa elimu hatoliona hili na kutoa mwongozo mapema juu ya kiwango maalum cha ada ya maombi watu wategemee kulizwa kwani kuna vyuo vimekata tamaa hivyo wanategemea kupitia ada hii.
Nawasilisha