Yeye Mwandosya alilipwa na Rwanda aitulize Tanzania kuhusu Bunge la EA kuhamia Kigali, pia Makao Makuu ya EA Business teyari wamehama na yeye atalipiwa matibabu ya Gonjwa lake India hadi anafariki, mfadhili ni Kagame.
Ununuzi wa Radar, yeye kachukuwa USD 200,000. Abishe vyote ili tufunguke zaidi.
Mzee anarusha mawe akiwa kwenye nyumba ya vioo? Si ajabu anajiona yeye ufisadi wake aliufanya uvunguni na watu hawajui.Haya sasa Mzee Mwandosya sema suuu watu waanze kutiririka na yako.
Lowassa ni Mwizi akatwe! Anataka tumpe nchi ili watuchezee na akina Rostam Aziz na hata waliomzukunguka tu wooote wezi watupu!
Wanyakyusa ninwatu wenye chuki na fitina sana ....
Kati ya watu ambao huwa hawaniingii ni huyu Mzee na sijuhi kwanini ..alafu CCM mbona mnatuletea wazee sana jamani?
Ninachowashangaa hawa wazee waliosomeshwa bure ni kuwa hadi leo wanaamini wao ndo wajuzi wa kila kitu kumbe ni kinyume chake.Umri mkubwa,misongo mingi ya mawazo inarudisha nyuma uwezo wa kujifunza mambo mapya kwani ubongo umechoka. Mwandosya anafikiri hizi bado ni enzi za typewritter.Vijana wanamiliki vyombo/mitandao ya kisasa inayoweza kuwapa taarifa za yeyote na chochote hata kwa miaka mingi tu ya nyuma. Hivyo prof. asijidanganye kuwa yote aliyoyafanya katika utumishi wake hayafahamiki au kupatikana.Yeye anaelewa sana kuwa taifa baada ya kuvunja mkataba na richmond halikulipa hata senti moja ya serikali.Lipo wazi kwa baraza la mawaziri na raia wengi tu. Sasa Lowassa angefaidikaje na richmond kama hawakulipwa na serikali? Kilichomhukumu Lowassa hata kujiuzulu ni ile nia ovu ya kuwezesha mkataba na richmond ambao hawakuwa na mtaji,ofisi wala utaalamu. Sasa anapokurupuka kuwa mafisadi wa epa na escrow waliotia nia wakatwe na raia tukimuuliza kukaa kwake serikalini ni ufisadi hu huo tu aliuona na hakuna nyingine?Hivi hata wa majuzi wa bandari hauhusishi hela nyingi kuliko richmond na escrow? Jee aliouacha bungeni na kuwahi fomu ulioletwa bungeni na mkaguzi mkuu wa serikali hauhusishi hela nyingi za wizi kuliko za epa na escrow? Sasa yeye ni nani zaidi ya kuwa mgombea kama wengine? Kazi za tume za uteuzi zimekasimishwa kwake?.Halafu sasa anasikika akisema kuwa Lowassa asisite kumuunga mkono akiona mambo yanamwea magumu. Kathibitishiwa na nani kuwa yeye ndio chaguo la kamati zote za uchujaji ndani ya chama? Wote wanaowapiga watia nia wenzao vijembe kwenye chama chao wajue wanakivua nguo chama na hizo kamati zikiwa na viongozi weledi waanze na hao kwa kukiaibisha chama. Busara za uzee ziko wapi hapo?
Melezo mengiiiii kumbe unamtetea Mwizi Lowassa na Genge lake la akina nyoka wa makengeza!
Watu wa aina yako tunao wengi nchini na hatuwezi kuwaacha kwani nanyi ni raia wa nchi hii tatizo hukujua uingie jukwaa lipi huku jf.Yapo majukwaa mengi ambayo una uwezo nayo.Siku nyingine usini quote kama huna maelezo yanayojitosheleza au yanayoweza kumwongoza na kumwelimisha msomaji.Yeyote kuitwa mwizi ni lazima ithibitishwe na mahakama ya nchi tena yenye mamlaka. Tuambie ni mahakama ipi iliyothibitisha wizi wa Lowassa na alipewa adhabu ipi. Nchi hii imekumbwa na ufisadi karibu kila wizara tena wenye kuhusisha kiasi kikubwa cha hela za wananchi kuliko richmond na epa nikauliza mbona zinatajwa hizo tu wakati zipo nyingi sana? Sasa ni wapi ninapomtetea Lowassa. Kwa hiyo na wewe unamtetea Mwandosya?Kuwa na mgombea na ukamshabikia ni utashi wako hivyo hujavunja sheria uwe na amani.
Lowassa ni mwizi tu Bunge lilithibitisha akatoka na uwaziri mkuu!kama siyo mbona ameshindwa kukanusha kama alivyo waahidi watanzania Siku ya kutangaza nia? mpaka sasa hajatumbia kwanini hakusema! Hata kama utaona mimi sifai kwakuwa sikubaliani na maelezo yako meeeengi ni sawa tu,hayo ndiyo madhara ya kushabikia vitu bila kufikiri na matokeo yake umekuja na maelezo meeeeeeengi kuelezea jambo ambalo hata halielezeki!
Bunge na mahakama ni mihimili miwili tofauti. Kwanza uzielewe kazi na wajibu wa bunge na pia kazi za mhimili wa mahakama. Sikuweka maelezo mengi kwa ajili yako na wala sitarajii kuendelea kukuona jukwaa hili tena kwa uwezo huo.Nimeyaweka yote haya kwa faida ya wana great thinkers wa jukwaa hili. Mods nawaombeni hii iwe quote ya mwisho kwa huyu mwenzetu kwangu.
Sawa hata kama unajidanganya kuona nina uwezo mdogo kuliko wewe but kwa swala la mwizi sihitaji uwezo mkubwa,Therefore Lowassa ni mwizi tu.
Wanyakyusa ninwatu wenye chuki na fitina sana ....
Kwahiyo wagombea wa CCM wote wakatwe basi.amekosea wapi kwenye kauli yake.hamtaki mafisadi wakatwe
Mtia nia wa urais CCM Prof.Mark Mwandosya amesisitiza kuwa watia nia wote wa urais wanaosakamwa na masakata hatari ya Richmond na Escrow ni lazima wakatwe kugombea urais.
Kumbukumbu zinaonesha kuwa kati ya wagombea Mh. Lowassa amewahi kukumbwa na sakata la Richmond hadi kupelekea kujiuzuru u-PM.Vilevile Prof. Muhongo alilazimika kujiuzuru kwa kashfa ya ESCROW.