Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,447
- 5,465
Kwanza acha umbea... kijana mdogo ukiwa mbea, ukiwa mzee utakuwa mchawi....
Mwandosya hana mvuto hata 10% ya Lowassa kisiasa...wala sio mtendaji...!!
Ni Prof. uchwara.... hana credibility hata kidogo tu ya kumwongelea Lowassa, as well UHAI WA CCM UKO KWA LOWASSA KWA SASA...!!! Sio yoyote yule...!!!
Huyu, hata kwao Mbeya ni mzigo, Lowassa kapata wadhamini elfu 53 Mbeya hadi fomu zimeisha.... Mwandosya kapata wadhamini 2,800 tu... wapi na wapi..!?
Naona anajikojolea kabla EL hajaanza kampeni, sbb CCM haiwezi mkata EL...!!
Watia nia wengine wote are weak and unlikable by public...hata 10% ya EL hakuna mtia nia anapendwa na wananchi kama EL...!!!
Ukitaka kuona CCM yangu inakufa na kufutika, wamweke mtu mwingine apart from EL... itakuwa ya KANU..!!
Sema hivii chonde chonde CC mkitaka nife na njaa mwaka huu jina la Lowassa mlidelete kabla ya tano bora!