mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,858
Wakuu professor Mark Mwandosya adaiwa kumwomba Lowassa kumuunga mkono ili yaishe..je siasa hii inamanisha nini,?
mwandosya atakua hajapona asee....
Arudishe hongo ya Rwanda ilioitosa Tanzania EAC na zile Usd 200,000 za Radar alizokwapua yeye pia
Hivi kati ya Mwandosya na EL nani anatakiwa kumuunga mwenzake mkono?
Arudishe hongo ya Rwanda ilioitosa Tanzania EAC na zile Usd 200,000 za Radar alizokwapua yeye pia
Juzi Lowasa alishindwa kunyanyuka kwenye kitiMbona ccm wote gonjwa gonjwa.?
Inamaanisha Lowassa anakatwa! Pamoja na Membe naye anakatwa. Asilimia kubwa ya CCM wanakatwa!
Wewe uko kwenye mada hii kweli?ccm lao ni moja. sera yao ni ufisadi na kulindana.
Wakuu professor Mark Mwandosya adaiwa kumwomba Lowassa kumuunga mkono ili yaishe..je siasa hii inamanisha nini,?
Kwanza acha umbea... kijana mdogo ukiwa mbea, ukiwa mzee utakuwa mchawi....
Mwandosya hana mvuto hata 10% ya Lowassa kisiasa...wala sio mtendaji...!!
Ni Prof. uchwara.... hana credibility hata kidogo tu ya kumwongelea Lowassa, as well UHAI WA CCM UKO KWA LOWASSA KWA SASA...!!! Sio yoyote yule...!!!
Huyu, hata kwao Mbeya ni mzigo, Lowassa kapata wadhamini elfu 53 Mbeya hadi fomu zimeisha.... Mwandosya kapata wadhamini 2,800 tu... wapi na wapi..!?
Naona anajikojolea kabla EL hajaanza kampeni, sbb CCM haiwezi mkata EL...!!
Watia nia wengine wote are weak and unlikable by public...hata 10% ya EL hakuna mtia nia anapendwa na wananchi kama EL...!!!
Ukitaka kuona CCM yangu inakufa na kufutika, wamweke mtu mwingine apart from EL... itakuwa ya KANU..!!