Prof. Mwandosya amchana Mkapa

hii ndo maana halisi ya kuwa profesa,asante Prof.Mwandosya,sasa unasubiri nin wahi unachelewa,,wanasema toroka uje.
 
Mzee Mwandosya ukiachilia mbali u profesa wake pia Mungu kamjalia hekima Sana
 
nngu007

kitumbua gani wkt yeye ana uhakika wa stahili zake kama rais mstaafu?
 
Last edited by a moderator:
nngu007

Waandishi uchwala wana shida kwelikweli
 
Last edited by a moderator:
mkapa anamjuwa sumaye viizuri piya ni Hugo Hugo hakumtaka lowasa. hakyna geni ccm ikipita watajileta tena kwani na uzee uko jamani
 
Mkakapa, Sumaye anafahamu siri nyingi zikiwamo za kuuza nyumba za serikali.
 
Mwandosya nimeamini ni Profesa halali Tanzania akifuatiwa na mwenzie waliosoma pamoja pale Ud Prof Mayo mjasiriamali wa Real Estate kule Changanyikeni.

Mayo ukimuita Prof Mayo anaweza kukupiga!

Yeye anapenda aitwe Prof. Dr. Mayo!
 
At least ndani ya chama chawala kuna wachache bado Wana akili
 
We mtoto wa 86 Prof. Mwandosya anakuwaje schoolmate wako.

Hata mtoto atakayezaliwa kesho anaweza kuja kuwa school mate wake endapo tu atasoma shule aliyoisoma Prof Mwandosya.

Classmate ndiyo suala lingine hapo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…