shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,153
kwa yaliyotokea bungeni hivi karibuni yanasikitisha na yanatia aibu na inaonyesha tuna bunge ambalo halipo yaani kiini macho.
Na kama kuna mgeni atakuwa alitazama bunge atasema kwamba watanzania hatuna uwezo wa kufikiri kwa mapana zaidi, na pia hatuna uwezo wa kutunza kumbukumbu.
Hivi Dr.mwakyembe si alifanya haya haya tena mpaka waziri mkuu akajiuzuru? kamati ikatoa mapendekezo kibao kuitaka serikali ya kikwetehuyu huyu na si mwingine iyatekeleze lakini hakuna kilichofanyika. matokeo yake kawa waziri katika serikali hiyo hiyo dhaifu.
kwa kweli wadanganyika tunatia hasira sana.
Wengi kwa uvivu wetu wakufikili tunafuata upepo naushabiki wa kisiasa bila kujua kwa kufanya hivyo tunaingiza inchi yetu zaidi katika dimbwi la umasikini.
ukitaka kumuua nyoka kwa urahisi mkate au mponde kichwa chake.
silly people.
Na kama kuna mgeni atakuwa alitazama bunge atasema kwamba watanzania hatuna uwezo wa kufikiri kwa mapana zaidi, na pia hatuna uwezo wa kutunza kumbukumbu.
Hivi Dr.mwakyembe si alifanya haya haya tena mpaka waziri mkuu akajiuzuru? kamati ikatoa mapendekezo kibao kuitaka serikali ya kikwetehuyu huyu na si mwingine iyatekeleze lakini hakuna kilichofanyika. matokeo yake kawa waziri katika serikali hiyo hiyo dhaifu.
kwa kweli wadanganyika tunatia hasira sana.
Wengi kwa uvivu wetu wakufikili tunafuata upepo naushabiki wa kisiasa bila kujua kwa kufanya hivyo tunaingiza inchi yetu zaidi katika dimbwi la umasikini.
ukitaka kumuua nyoka kwa urahisi mkate au mponde kichwa chake.
silly people.