Prof. Muhongo vs Dr. Mwakyembe kuna jipya?

shungurui

JF-Expert Member
Sep 1, 2008
3,765
5,153
kwa yaliyotokea bungeni hivi karibuni yanasikitisha na yanatia aibu na inaonyesha tuna bunge ambalo halipo yaani kiini macho.

Na kama kuna mgeni atakuwa alitazama bunge atasema kwamba watanzania hatuna uwezo wa kufikiri kwa mapana zaidi, na pia hatuna uwezo wa kutunza kumbukumbu.

Hivi Dr.mwakyembe si alifanya haya haya tena mpaka waziri mkuu akajiuzuru? kamati ikatoa mapendekezo kibao kuitaka serikali ya kikwetehuyu huyu na si mwingine iyatekeleze lakini hakuna kilichofanyika. matokeo yake kawa waziri katika serikali hiyo hiyo dhaifu.

kwa kweli wadanganyika tunatia hasira sana.

Wengi kwa uvivu wetu wakufikili tunafuata upepo naushabiki wa kisiasa bila kujua kwa kufanya hivyo tunaingiza inchi yetu zaidi katika dimbwi la umasikini.

ukitaka kumuua nyoka kwa urahisi mkate au mponde kichwa chake.
silly people.
 
kwa yaliyotokea bungeni hivi karibuni yanasikitisha na yanatia aibu na inaonyesha tuna bunge ambalo halipo yaani kiini macho.

Na kama kuna mgeni atakuwa alitazama bunge atasema kwamba watanzania hatuna uwezo wa kufikiri kwa mapana zaidi, na pia hatuna uwezo wa kutunza kumbukumbu.

Hivi Dr.mwakyembe si alifanya haya haya tena mpaka waziri mkuu akajiuzuru? kamati ikatoa mapendekezo kibao kuitaka serikali ya kikwetehuyu huyu na si mwingine iyatekeleze lakini hakuna kilichofanyika. matokeo yake kawa waziri katika serikali hiyo hiyo dhaifu.

kwa kweli wadanganyika tunatia hasira sana.

Wengi kwa uvivu wetu wakufikili tunafuata upepo naushabiki wa kisiasa bila kujua kwa kufanya hivyo tunaingiza inchi yetu zaidi katika dimbwi la umasikini.

ukitaka kumuua nyoka kwa urahisi mkate au mponde kichwa chake.
silly people.

Nijuavyo mimi siasa za kutaka sifa ni siasa mbaya sana! Nina imani na Prof. Muhongo, naamini hasemei sifa ameona njia ambazo majigambo yake yanatekelezeka! Binafsi namtia moyo. Singependa kumlinganisha na Mwakyembe kwa maana wawili hawa wanahusika kitofauti katika majukum yao. Wakati Mwakyembe alitumwa na kuwasilisha taarifa yake kwa waliomtuma kisha kupendekeza nini anadhani kikifanyika kitaleta suluhisho, Prof. yeye ndo msimamizi wa yale yote aliyoahidi yatatekelezwa. Ni matumaini yangu amejipanga vizuri(kiserikali) kutembea katika kauli. Kwa kuwa yeye ni mwanataalumaa aliyebobea, anajua kwamba mambo TECHNICAL hayaendeshwi KISIASA.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom