Feberia
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 541
- 219
Ni kweli usiofichika kipindi cha prof Muhongo umeme ulikuwa hausumbui kama siku hizi mpaka unawaza labda Bombadier ndio inachukua umeme kila mara umekatwa na kuwafanya wakubwa na watoto kuwa na shangwe mara uwakapo UOOOOOOOO!!!!
Mnisaidie wadau ndio tunakoterajia 2025 kufika? Ndoto tena za mchana na nizaasiyefahamika
Mnisaidie wadau ndio tunakoterajia 2025 kufika? Ndoto tena za mchana na nizaasiyefahamika