Prof. Muhongo kutangaza nia Juni 2 mjini Musoma

Prof. Muhongo kutangaza nia Juni 2 mjini Musoma

unanitaka

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2014
Posts
2,178
Reaction score
1,046
TAMKO LA PROF MUHONGO LA KUOMBA RIDHAA YA WANA-CCM NA WATANZANIA WENGINE WOTE YA KUONGOZA TAIFA LETU:

Prof Muhongo atatoa Tamko lake kati ya tarehe 2 Juni 2015. atatoa Tamko lake juu ya Tanzania Ijayo (2015-2025++) kabla ya kuchukua Fomu.

Wana-CCM wanaombwa wajitokeze kumdhamini Prof Muhongo muda ukiwadia. Taarifa hii mpatie mwenzako. TANZANIA YAKO, TANZANIA YETU.

Muhongo.png
 
Muhongo kutangaza nia ya urais 02/06/2015 Musoma mjini.
 

Attachments

  • 1433087783166.jpg
    1433087783166.jpg
    48 KB · Views: 6,711
Muhongo kutangaza nia ya urais 02/06/2015 Musoma mjini.

Ni haki yake ccm tuna demokrasia ya kweli.Na bado tunamshawishi Chenge nayeye atangaze nia.acha wapinzani wabaki na porojo za ufisadi.CCM hatuna ufisadi ni ujanja wa mtu mengine majungu.
 
Duh, 2015 imekuwa vioja.kwli JK apewe pongezi kwa kuufanya uraisi kuwa accessible.

Vyama vya upinzani mnatuangusha, ni aibu kwa chama tawala kuonesha demokrasia ya hali ya juu kuliko nyie wapinzani, wagombea wenu ni wepi?au ni wale wale walioshindwa na Mkapa na JK?
 
NIMEKAA IKULU MUDA MREFU NIKIMSAID IA MWL NA NAYAKUMBUKA MANENO YAKE YA "IKULU KUNA BIASHARA GANI" NILIYATHIBTISHA KWA KUANGALIA NJE YA IKULU MARA ZOTE NILIONA WATU WAKIKATA MAJANI NA WAGENI WALIOKUWA WAKIINGIA CM WANAZIACHA GETINI NIKAJIULIZA HAPA NITAFANYA BIASHARA NA NANI...... . HATUWEZI KUMUWEKA MLA RUSHWA IKULU MAANA KUNA CKU ATAUZA IKULU YETU PIA HAIWEZEKENI WATU MIL. 40 NA ZAIDI KUTOKESE MWAMINIFU WA KUWEKA IKULU, ITAKUWA NCHI YA SODOMA NA GOMORA stephen wassira huyo.
 
dk mengi,wasira tumbo joto,na akikosa yeye ndiye waziri mkuu mtarajiwa
 
Na bado make horodha yao mpaka sahivi ni kama 20 hivi
 
Ni haki yake ccm tuna demokrasia ya kweli.Na bado tunamshawishi Chenge nayeye atangaze nia.acha wapinzani wabaki na porojo za ufisadi.CCM hatuna ufisadi ni ujanja wa mtu mengine majungu.

Duh!, Ufisadi ni UJANJA, kweli?? Nimeamini baadhi ya wana CCM wamelogwa na mchawi wao kakufwa! Khaaa!!!
 
Back
Top Bottom