kama mgao haupo nyumbani kwake na ofisini kwake atasemaje kuna mgao?
tatizo maprofesa ccm hutumika ndivyo sivyo, hulazimishwa watende wasiyoamini na waamini wasiyoyatenda1Ndugu yangu hakuna cha umakini wala nini kama ni mtu makini kwa nini anatudanganya watanzania kuwa hakuna mgao na wakati hata kipofu anajua kuna mgao utasema huyu ni mtu makini? huyu nae ni gamba tu hakuna cha profesa, kwanza sina record ya profesa yeyote ndani ya CCM amewahikperfom kama nimekosea nisahihisheni
Tulipofika watanzania sasa ni kila kitu kulaumu. Hatuna muda wa kufikirisha akili zetu. Hivi ni nani aliyesema kwamba maadam mgawo haupo basi kukatika kwa umeme ndiyo mwisho wake? Nadhani kuna tatizo la uelewa kuhusu mgawo wa umeme. Prof. Muhongo is and will remain to be a hero in this important Ministry. He has done a lot within thia short period since his appointment as the Minister....Ngeleja mwingine huyu, tuliambiwa kichwa sana hana hata ukichwa wowote. Utakuwaje kichwa halafu uendelee kusema uongo kwamba hakuna mgao wakati kuna mgao katika maeneo mengi nchini na watumiaji wa umeme wanaweza kuthibitisha hilo.
Ushasahau kuwa huyu Muhongo ni katika list ya wana CCM wanaopendwa hapa JF?
Wengine ni:
Magufuli
Mwakyembe
Ukitaka ugomvi na wana JF ambao husema kuwa CCM ni mafisadi bas wewe waguse hao waheshimiwa
Typical JF double standards
kama mgao haupo nyumbani kwake na ofisini kwake atasemaje kuna mgao?
...hakuna "mgao" jamani hamuelewi, nchi inaongozwa kwa imani sasa...ukisema hakuna mgao inatakiwa wananchi waamini hata kama umeme hakuna...
...nahisi kuna haja ya waziri kuulizwa maana ya mgao..labda kuna tafsiri mpya ambayo watu hatujaipata...
Chezea Muhongo nyie!
Ninapoandika 80% ya daa hakuna umeme!
Chezea ccm nyie
Tulipofika watanzania sasa ni kila kitu kulaumu. Hatuna muda wa kufikirisha akili zetu. Hivi ni nani aliyesema kwamba maadam mgawo haupo basi kukatika kwa umeme ndiyo mwisho wake? Nadhani kuna tatizo la uelewa kuhusu mgawo wa umeme. Prof. Muhongo is and will remain to be a hero in this important Ministry. He has done a lot within thia short period since his appointment as the Minister.
Tulipofika watanzania sasa ni kila kitu kulaumu. Hatuna muda wa kufikirisha akili zetu. Hivi ni nani aliyesema kwamba maadam mgawo haupo basi kukatika kwa umeme ndiyo mwisho wake? Nadhani kuna tatizo la uelewa kuhusu mgawo wa umeme. Prof. Muhongo is and will remain to be a hero in this important Ministry. He has done a lot within thia short period since his appointment as the Minister.
Chezea Muhongo nyie!
Ninapoandika 80% ya daa hakuna umeme!
Chezea ccm nyie
Mgao wa umeme upo Prof Muhongo acha uhongo.
Habari wanabodi.
kutokana na kutokuwepo kwa umeme nmeshindwa kutafuta maana halisi ya neno mgao kwenye kamusi ya tuki.
sasa yapata saa ya kumi na tatu bila umeme huku kwetu temeke.cjui nini sababu labda kwakuwa jana sikuangalia luninga jana labda wenzangu mna taarifa kuhusu kutokuwepo kwa umeme nashindwa sema ni uongo kuambiwa kuwa hakuna mgao tena hali ya kuwa umeme haupatikani.
katika hali ya kawaida umeme ukiwepo ilala na usipokuwepo temeke manake kuna mgao.au ukiwepo masaki na usipokuwepo puna manake kuna mgao.
ndugu kwa hali hii mgao wa umeme upo au haupo? Km upo je prof anatudanganya ?