Msela jela
Member
- Oct 13, 2012
- 24
- 3
usanii tu,hakuna cha profesa wala muhongo..
labda tumwite muongo...
tabata toka asub hakuna umeme..
sahizi dar yote Giza..
wanakula bata tu na ahadi fake
Pamoja kwamba mimi ni mpenda mabadiliko sana na naichukia ccm bt Muhongo ni m2 makini sana tena sana coz yeye si political oriented,shida ni kwamba amezungukwa na mapapa wasiyopenda mabadiliko,waliotayari kutoa roho hili kumuchafulia yule atambuae majukumu yake,pole ccm
huuuo umerudi!usanii tu,hakuna cha profesa wala muhongo..
labda tumwite muongo...
tabata toka asub hakuna umeme..
sahizi dar yote Giza..
wanakula bata tu na ahadi fake