Prof. Muhongo ateuliwa kuwa Mshauri Mkuu FEMATA

Prof. Muhongo ateuliwa kuwa Mshauri Mkuu FEMATA

kidesheni

Senior Member
Joined
Oct 30, 2012
Posts
178
Reaction score
35
Federation of Miners Association of Tanzania (FEMATA) kwa kauli moja wamemteua Prof Sospeter Muhongo kuwa MSHAURI MKUU wao. FEMATA ilifikia uamuzi huo (28.02.2015) kwa kuzingatia elimu, maarifa, uzoefu, uwezo, uadilifu na uzalendo wake.

Prof Muhongo ndiye aliyetengeneza Ramani ya kisasa ya Jiolojia na Madini ya Tanzania (2004) kwa kushirikiana na rafiki zake wa Ufaransa. Tanzania haikutoa malipo ya aina yo yote au kupewa mkopo kutengeneza Ramani hiyo.
 
Muhongo ni kichwa yule jamaa sema siasa za kinafiki zimemkost Tanzania
 
Kwanini asiachane na siasa na kufanya kazi kwenye mambo hayo ya geology 100%
 
Muhongo ni kichwa yule jamaa sema siasa za kinafiki zimemkost Tanzania
Sawa, ujanja kupata na anajua sana ni upande gani wa mkate umepakwa siagi! Anavuna alichopanda...kufukuzwa Uwaziri wa Madini na kuteuliwa Mshauri Mkuu wa FEMATA, Umoja wa Wachimba Madini Tanzania! Kweli akili nywele! Namkumbuka yule aliyekuwa balozi wetu Afrika Kusini, Ami Mpungwe, aliyesaidia kuwawezesha makaburu kumiliki madini yetu.

Baada ya kung'atuka Ubalozini wakamkabidhi kampuni yao ya madini kuiongoza na baadaye kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TCME, Chemba ya Madini na Nishati Tanzania.

Tumefanikiwa sana katika kujenga jamii ya kifisadi na hivyo viongozi wasio na uadilifu...kazi yetu iliyobaki ni kukesha tukiwawasifia. Huwezi kupanda maharage ukavuna karanga.
 
Kwa hiyo Rais na Serikali imuombe msamaha?

Hahitaji msamaha jamaa anachanja mbuga.nyie.endeleeni na majungu,.by the way, vipi zzk mnamsaidiaje, mana hela zote mlizompa ili.kumchafua muhongo zinammaliza sasa
 
Huyu JOLO gani huyu badala tumkute migodini akielekeza njia za kuyafikia madini ya vito yeye kutwa kucha kuteuliwa (kwani ana sifa za ma DC) au ukimuomba namba ya simu anakupa tigo tu!!!

Mi najua wanaopendelewaga saaaaaaana huwa ni wanawake, wanawezeshwa ili nao waweze sasa huyu mwenzetu kulikoni!!!!??
 
Sawa, ujanja kupata na anajua sana ni upande gani wa mkate umepakwa siagi! Anavuna alichopanda...kufukuzwa Uwaziri wa Madini na kuteuliwa Mshauri Mkuu wa FEMATA, Umoja wa Wachimba Madini Tanzania! Kweli akili nywele! Namkumbuka yule aliyekuwa balozi wetu Afrika Kusini, Ami Mpungwe, aliyesaidia kuwawezesha makaburu kumiliki madini yetu. Baada ya kung'atuka Ubalozini wakamkabidhi kampuni yao ya madini kuiongoza na baadaye kuteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TCME, Chemba ya Madini na Nishati Tanzania. Tumefanikiwa sana katika kujenga jamii ya kifisadi na hivyo viongozi wasio na uadilifu...kazi yetu iliyobaki ni kukesha tukiwawasifia. Huwezi kupanda maharage ukavuna karanga.

Muhongo ni mtu safi.hata wewe unajua hilo, jikomboe mzee acha.kuwatumikia hao mabwana wanaokutumia
 
Hahitaji msamaha jamaa anachanja mbuga.nyie.endeleeni na majungu,.by the way, vipi zzk mnamsaidiaje, mana hela zote mlizompa ili.kumchafua muhongo zinammaliza sasa

Umeingia choo kisichokuwa cha jinsia yako! Soma vyema maandishi juu ya mlango!
 
Huyu JOLO gani huyu badala tumkute migodini akielekeza njia za kuyafikia madini ya vito yeye kutwa kucha kuteuliwa (kwani ana sifa za ma DC) au ukimuomba namba ya simu anakupa tigo tu!!!

Mi najua wanaopendelewaga saaaaaaana huwa ni wanawake, wanawezeshwa ili nao waweze sasa huyu mwenzetu kulikoni!!!!??

Hebu google.cv yake mzee, hayo ya.kuchora ramani ameyafanya.sana tena kwa mafanikio, hata.huko waliklomteua.wanajua jamaa ni kichwa, hujiulizi.kwa nini wasikuteue wewe? Oohh nimesahau.kumbe.kuna watu washakuteua kusuka majungu! Hongera
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Okay, wewe wasema.

Hapana, sijui hilo.

Nijikomboe? Kwa vipi?

Mimi sijamtetea mtu, sasa natumiwaje? Kwa upande wako mbona iko kazi! Bila shaka leo hutoki humu! Nakutakia utetezi mwema...kwaheri.

Unasahau vitu.kama kungulu
 
Vipi mmejipanga tena kumuundia zengwe.huko, nafkir.saiv mngejikita kumwokoa zitto mana naye kaoshwa hahahahah

Zito naye ndio hatakiwi kabisa kwa tabia yake ya ujanja wa sungura au ujanja wa kuku
 
Okay, wewe wasema.

Hapana, sijui hilo.

Nijikomboe? Kwa vipi?

Mimi sijamtetea mtu, sasa natumiwaje? Kwa upande wako mbona iko kazi! Bila shaka leo hutoki humu! Nakutakia utetezi mwema...kwaheri.

Huyu jamaa anasema unawatumikia mabwana,ebu tiririka mkuu
 
Huko kwenye miamba ndio taalumake. Hata akiionyesha kiburi miamba nani anajali?
 
Back
Top Bottom