Kuna kelele nyingi za kumkumbuka Prof. Muhongo kama zilivyokuwa za kumtaka jpm kwenye barabara.
Hebu tuoge kwa JK alivyomrudisha jpm kwenye barabara, kwani mambo tuliyodhani hakufanyakazi sawasawa yako vilevile hadi leo na yale aliyokuwa anayatekeleza yamesimama hivyo hivyo.
Wananchi tunataka maendeleo hao akina Lissu wameshajua na tumeshawajua hawataleta tena mambo yao ya kijinga.
Hebu tuoge kwa JK alivyomrudisha jpm kwenye barabara, kwani mambo tuliyodhani hakufanyakazi sawasawa yako vilevile hadi leo na yale aliyokuwa anayatekeleza yamesimama hivyo hivyo.
Wananchi tunataka maendeleo hao akina Lissu wameshajua na tumeshawajua hawataleta tena mambo yao ya kijinga.