Prof. Mkenda ni muadilifu anachokosa ni uchapa kazi na ubunifu (flexibility, creativity na exposure)

Kwa hiyo ni bora kuua viwanda vya ndani ili kuagiza toka nje? Unaua viwanda vyako vya ndani ili uagize toka nje; are you serious? Viwanda vikifa unapoteza ajira, kodi, soko la wakulima wa miwa nk, hivyo vyote utavipata kwa alternative gani?...
Kuna mahala nimesoma wakulima wa miwa wanapata hasara baada ya miwa yao kushindwa kutumiwa na kiwanda kwa kuwa hakina uwezo wa kuchukua miwa yote inayozalishwa na wakulima.

Sasa hapa ndio tuendelee kusubiri sukari ya ndani Hali ya kuwa wenye viwanda wanafanya kazi kimazoea Hadi leo?
 
Mkuu Ngungange , kwanza nayaheshimu mawazo yako, kiukweli kabisa, Prof. Adolf Mkenda is one of the best of the best kwenye lineup ya Mama Samia, it's not fair kuambiwa nonsense, but the boss is always right, and it's very dangerous to be right when the boss is wrong!...
"The boss is right and it is very dangerous to be right when the boss is wrong" Mayalla.

Kila mwenye akili timamu na atafakari.
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Uadilifu na Uchapa kazi. Hayo ni mambo mawili tofauti. Viongozi wengi wako katika makundi mawili
1. Viongozi waadilifu lakini hawana maarifa ya kuchapa kazi na kuleta matokea chanja....
Yuko pale na naibu wake Bashe Janja Janja kwa nini wasishirikiane?

Hawa maorifesa mliowatoa vyuoni huwa ni tatizo,arudi UDSM kufundisha Old School thinking of economics,ndio maana hawaendani na nyakati wako conservative Sana na nadharia za kizamani.
 
Ni kwamba, uzalishaji wa viwanda vyetu hautoshelezi mahitaji ya ndani; kwa hiyo sheria imevipa dhamana ya kuagiza toka nje ili kuziba pengo linalopungua. Ndo maana viwanda vinaagiza toka huko Uganda..
Sasa huoni kwamba ukivipa leseni viwanda kuagiza unapunguza uwezo wa viwanda kuzalisha na badala yake vinabaki vinaagiza as kuagiza kunalipa zaidi kuliko kuzalisha.

Kwann usiache kwa wafanyabiashara with limit kuwa wafanyabiashara hawa waagize kiwango hk bas..,
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Uadilifu na Uchapa kazi. Hayo ni mambo mawili tofauti. Viongozi wengi wako katika makundi mawili
1. Viongozi waadilifu lakini hawana maarifa ya kuchapa kazi na kuleta matokea chanja
2. Viongozi wachapa kazi ambao wanaleta matokeo kwa muda mfupi lakini sio waadilifu

Changamoto kubwa imekuwa kupata viongozi wenye sifa zote. Ukimtoa Rais Samia na Rais Mwinyi kuna mifano mingine michache ya viongozi wenye sifa zote mbili, yaani uadilifu na kuchapa kazi

1. Capt. Mkuchika ni mwadilifu na mchapa kazi
2. Prof. Mark Mwandosya ni mwadilifu na mchapa kazi

Prof Mkenda anabaki kuwa mwadilifu lakini sio mchapa kazi. Hana mbinu za kufanya wizara ya kilimo ifanye vizuri. Nikitoka mfano kwenye suala la mbolea, suala la Sukari ambalo Rais Samia amegusia, mikopo ya kilimo, pia suala la pembejea za kilimo
Hayo ni mambo machache

Wizara ya kilimo inataka mtu mjanja, mbunifu na mchapa kazi.
Fedha kwenye kilimo zimejaa lak
Taasisi ya Uraisi inat
Sasa hapa nakuunga mkono kwa 100% .Ubunifu Hana hivo hafai ni bora akapumzika tu hatu huyo naibu wake ni maneno tu sio mtendaji mzuri .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yuko pale na naibu wake Bashe Janja Janja kwa nini wasishirikiane?

Hawa maorifesa mliowatoa vyuoni huwa ni tatizo,arudi UDSM kufundisha Old School thinking of economics,ndio maana hawaendani na nyakati wako conservative Sana na nadharia za kizamani.
Kimsingi ma Professor wengi sio wazalishaji wazuri aatu ambao wamekuwa wakifanya wonders wengi ni wenye masters degree ndio angalia mfano Nsekela wa CRDB Bank henis doing wonderful
Tatizo watu wenye elimu kubwa ni kujifunzia kwenye fikra zao hawawezi ku out source na ku delivery wanataka wao ndio wawe final sasa hii hi hatari sana
 
Mimi simuoni kama best elite with high IQ sababu zangu ni hizi

Kauli ya kuwa kamwe hatokubali kutoa vibali sio kauli ya level ya wizara ni zaidi ya Mamlaka yake aliongea as if ni Rais au Waziri Mkuu
Ilikua ni sawa kwa Majaliwa kutoa io statement sio Waziri.

Kulinda viwanda vya ndani hakuna mantiki kama viwanda hivyo havifikii malengo ya uzalishaji. Hadi sasa tumeshindwa kwenda na comparative analysis kati ya uzalishaji wa viwanda na importation.

Pia viwanda vya ndani haviwezi kufanya vizuri kama waagizaji wa sukari ndio wamiliki wa viwanda hii inahitaji akili sio kanuni za darasani.

Viwanda vya ndani vitashindana vipi na soko la nje wakati hakuna unafuu kwenye pembejeo, still wakulima wanapractise primitive farming.

Sina shaka nae kwenye utaratibu lakini nina mashaka nae kwenye efficiency.

Bashe he could be better minister coz anajua dhana ya Biashara na Uwekezaji kwa vitendo ilihali Mkenda anajua kwa theory kilimo kinataka skilled practical than theory
Sheria imempa uwezo waziri wa kilimo pekee kutoa vibali.Shida ni kwamba katika issue ya sukari yule anayesimamia vizuri ndo husakamwa zaidi hìi ni kutokana na dili za kujipatia fedha...
 
Umemuua huyo aliyekariri sheria. Halafu kama sheria ni kikwazo kuna njia ya kuirekebisha ambayo ni miscellaneous amendment bungeni
Yes sheria sio msaafu kuna namna ya ku adjust
Mbona mambo mengine wanafanya bila kufata sheria..?
 
Kwenye suala la sukari waziri Mkenda yuko sahihi kabisa kusimamia sheria na maazimio ya serikali; hiyo ndiyo maana halisi ya uadilifu.
Mama amechemsha kubwatuka hadharani bila kujua kwamba waziri alitoa tamko ili kulinda sheria na maamuzi ya serikali. Rais pia alipaswa kujiridhisha kuwa hakuna sukari inayoagizwa toka Uganda kabla hajatoa kauli yake.
Bosi sukari ya Tanzania ni Bei kubwa Sana bora iingizwe nyingi ili ishushe Bei ya ndani.Fikilia kilo n elfu 3 Sasa hapo ni sisi Wananchi ndo tunaumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Uadilifu na Uchapa kazi. Hayo ni mambo mawili tofauti. Viongozi wengi wako katika makundi mawili
1. Viongozi waadilifu lakini hawana maarifa ya kuchapa kazi na kuleta matokea chanja
2. Viongozi wachapa kazi ambao wanaleta matokeo kwa muda mfupi lakini sio waadilifu

Changamoto kubwa imekuwa kupata viongozi wenye sifa zote. Ukimtoa Rais Samia na Rais Mwinyi kuna mifano mingine michache ya viongozi wenye sifa zote mbili, yaani uadilifu na kuchapa kazi

1. Capt. Mkuchika ni mwadilifu na mchapa kazi
2. Prof. Mark Mwandosya ni mwadilifu na mchapa kazi

Prof Mkenda anabaki kuwa mwadilifu lakini sio mchapa kazi. Hana mbinu za kufanya wizara ya kilimo ifanye vizuri. Nikitoka mfano kwenye suala la mbolea, suala la Sukari ambalo Rais Samia amegusia, mikopo ya kilimo, pia suala la pembejea za kilimo
Hayo ni mambo machache

Wizara ya kilimo inataka mtu mjanja, mbunifu na mchapa kazi.
Fedha kwenye kilimo zimejaa lak
Taasisi ya Uraisi inat
Ubunifu wake unapigwa chini na Raisi. Unataka afanyeje? Anazuia sukari toka nchi za nje ili kukuza viwanda vya ndani. Raisi anamwita nonsense. Kweli katina mpya ni muhimu
 
Kwenye suala la sukari waziri Mkenda yuko sahihi kabisa kusimamia sheria na maazimio ya serikali; hiyo ndiyo maana halisi ya uadilifu.
Mama amechemsha kubwatuka hadharani bila kujua kwamba waziri alitoa tamko ili kulinda sheria na maamuzi ya serikali. Rais pia alipaswa kujiridhisha kuwa hakuna sukari inayoagizwa toka Uganda kabla hajatoa kauli yake.
Waziri alikuwa sahihi kabisa. Alichokisema ni sheria ya nchi na maazimio lukuki ambayo Rais nae alishiriki kuyatunga wakati wa hayati Magu na Rais alikuwa makamu wa rais. Sielewi hii U turn imetoka wapi ama mabadiliko yalikuwepo hatukuona. Yawezekana waziri hajaperuzi vizuri maandiko. Walioko jirani na makabrasha husika wayatose tuyadurusu
 
Mkuu Ngungange , kwanza nayaheshimu mawazo yako, kiukweli kabisa, Prof. Adolf Mkenda is one of the best of the best kwenye lineup ya Mama Samia, it's not fair kuambiwa nonsense, but the boss is always right, and it's very dangerous to be right when the boss is wrong!.

Hawa viongozi intelligent people wanaotumia brain power, wana changamoto kubwa sana kufanya kazi na kuendana na average IQ. Niliona jinsi Dr. Kigwa, an average man, alivyompa wakati mgumu Prof. Mkenda pale Maliasili na Utalii. Prof. Mkenda is a man of principles, wakati Dr. Kigwa alikuwa populist!.

Kigwa anataka kuchota mihela bila kufuata utaratibu, Prof. akamgomea, Kigwa akamshitaki kwa Bulaza!. Bro nae badala ya kusisitiza Kigwa kufuata utaratibu, akawalazimisha Wapatane vinginevyo atatumbua wote!. Prof. akashikilia msimamo, lazima, sheria, taratibu na kanuni zifuatwe!. Kigwa lost akawekwa kando.

Juzi kati nimekutana na Prof. Mkenda pale Pasua Moshi na kupiga nae, impromptu moja, kiukweli yuko vizuri sana.

msikilize


P
Mkuu Pasko uko sahihi kabisa lakini huoni kwamba ishu ya sukari inatutesa Sana sisi Wananchi kwa maana bei ni kubwa Sana .Sasa hivi kilo ni elfu tatu na huoni kwamba ikiagizwa kutoka Uganda itakuja kishusha Bei ya hii ya ndani na Matokeo yake italeta unafuu kwetu sisi Wananchi wa kawaida?Ingawa ni kweli prof anasimamia sheria lakini katika kusimamia sheria Wananchi ndo tunaumia kipi bora.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye suala la sukari waziri Mkenda yuko sahihi kabisa kusimamia sheria na maazimio ya serikali; hiyo ndiyo maana halisi ya uadilifu.
Mama amechemsha kubwatuka hadharani bila kujua kwamba waziri alitoa tamko ili kulinda sheria na maamuzi ya serikali. Rais pia alipaswa kujiridhisha kuwa hakuna sukari inayoagizwa toka Uganda kabla hajatoa kauli yake.
........Raisi anajua sukari inaingia Tz kupitia viwanda(Balozi Ame Mpungwe) sasa waziri akisema hatutakubali sukari iingie Tz unataka Raisi ASEMEJE?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Uadilifu na Uchapa kazi. Hayo ni mambo mawili tofauti. Viongozi wengi wako katika makundi mawili
1. Viongozi waadilifu lakini hawana maarifa ya kuchapa kazi na kuleta matokea chanja
2. Viongozi wachapa kazi ambao wanaleta matokeo kwa muda mfupi lakini sio waadilifu

Changamoto kubwa imekuwa kupata viongozi wenye sifa zote. Ukimtoa Rais Samia na Rais Mwinyi kuna mifano mingine michache ya viongozi wenye sifa zote mbili, yaani uadilifu na kuchapa kazi

1. Capt. Mkuchika ni mwadilifu na mchapa kazi
2. Prof. Mark Mwandosya ni mwadilifu na mchapa kazi

Prof Mkenda anabaki kuwa mwadilifu lakini sio mchapa kazi. Hana mbinu za kufanya wizara ya kilimo ifanye vizuri. Nikitoka mfano kwenye suala la mbolea, suala la Sukari ambalo Rais Samia amegusia, mikopo ya kilimo, pia suala la pembejea za kilimo
Hayo ni mambo machache

Wizara ya kilimo inataka mtu mjanja, mbunifu na mchapa kazi.
Fedha kwenye kilimo zimejaa lak
Taasisi ya Uraisi inat
Tatizo ni akili ndogo siyo kuchapa kazi tu kiongozi anatakiwa kuwa na akili nyingi wala siyo nguvu nyingi ,viongozi wetu wamepungukiwa AKILI
 
Mimi simuoni kama best elite with high IQ sababu zangu ni hizi

Kauli ya kuwa kamwe hatokubali kutoa vibali sio kauli ya level ya wizara ni zaidi ya Mamlaka yake aliongea as if ni Rais au Waziri Mkuu
Ilikua ni sawa kwa Majaliwa kutoa io statement sio Waziri.

Kulinda viwanda vya ndani hakuna mantiki kama viwanda hivyo havifikii malengo ya uzalishaji. Hadi sasa tumeshindwa kwenda na comparative analysis kati ya uzalishaji wa viwanda na importation.

Pia viwanda vya ndani haviwezi kufanya vizuri kama waagizaji wa sukari ndio wamiliki wa viwanda hii inahitaji akili sio kanuni za darasani.

Viwanda vya ndani vitashindana vipi na soko la nje wakati hakuna unafuu kwenye pembejeo, still wakulima wanapractise primitive farming.

Sina shaka nae kwenye utaratibu lakini nina mashaka nae kwenye efficiency.

Bashe he could be better minister coz anajua dhana ya Biashara na Uwekezaji kwa vitendo ilihali Mkenda anajua kwa theory kilimo kinataka skilled practical than theory
Hapo Kuna mgongano wa kimasilahi.Kanuni ya uchumi ni kwamba kama unataka kishusha bei ya bidhaa Fulani basi zalisha kwa wingi,Sasa hapa Tanzania Bei ya sukari ni kubwa hadi imefkia elfu tatu na hapa Wananchi ndo wanaumia Sasa inakuaje tunakataza sukari kutoka Uganda ili ije ishushe bei ya hapa ili Wananchi wapate unafuu wa maisha?Hii nchi ni ngumu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Uadilifu na Uchapa kazi. Hayo ni mambo mawili tofauti. Viongozi wengi wako katika makundi mawili
1. Viongozi waadilifu lakini hawana maarifa ya kuchapa kazi na kuleta matokea chanja
2. Viongozi wachapa kazi ambao wanaleta matokeo kwa muda mfupi lakini sio waadilifu

Changamoto kubwa imekuwa kupata viongozi wenye sifa zote. Ukimtoa Rais Samia na Rais Mwinyi kuna mifano mingine michache ya viongozi wenye sifa zote mbili, yaani uadilifu na kuchapa kazi

1. Capt. Mkuchika ni mwadilifu na mchapa kazi
2. Prof. Mark Mwandosya ni mwadilifu na mchapa kazi

Prof Mkenda anabaki kuwa mwadilifu lakini sio mchapa kazi. Hana mbinu za kufanya wizara ya kilimo ifanye vizuri. Nikitoka mfano kwenye suala la mbolea, suala la Sukari ambalo Rais Samia amegusia, mikopo ya kilimo, pia suala la pembejea za kilimo
Hayo ni mambo machache

Wizara ya kilimo inataka mtu mjanja, mbunifu na mchapa kazi.
Fedha kwenye kilimo zimejaa lak
Taasisi ya Uraisi inat
Unampigia debe Mark Mwandosya mwenye umri unaokimbilia 80 halafu ana kiburi cha elimu yake?

Vijana ni wengine tu waadilifu, wachapa kazi, wabunifu na wanauthubutu lakini serikali hii sio sehemu yao kuonesha uwezo wao badala yake majina ya watu wa zamani mnakazania kuwabeba
 
Kuna tofauti kubwa kati ya Uadilifu na Uchapa kazi. Hayo ni mambo mawili tofauti. Viongozi wengi wako katika makundi mawili
1. Viongozi waadilifu lakini hawana maarifa ya kuchapa kazi na kuleta matokea chanja
2. Viongozi wachapa kazi ambao wanaleta matokeo kwa muda mfupi lakini sio waadilifu

Changamoto kubwa imekuwa kupata viongozi wenye sifa zote. Ukimtoa Rais Samia na Rais Mwinyi kuna mifano mingine michache ya viongozi wenye sifa zote mbili, yaani uadilifu na kuchapa kazi

1. Capt. Mkuchika ni mwadilifu na mchapa kazi
2. Prof. Mark Mwandosya ni mwadilifu na mchapa kazi

Prof Mkenda anabaki kuwa mwadilifu lakini sio mchapa kazi. Hana mbinu za kufanya wizara ya kilimo ifanye vizuri. Nikitoka mfano kwenye suala la mbolea, suala la Sukari ambalo Rais Samia amegusia, mikopo ya kilimo, pia suala la pembejea za kilimo
Hayo ni mambo machache

Wizara ya kilimo inataka mtu mjanja, mbunifu na mchapa kazi.
Fedha kwenye kilimo zimejaa lak
Taasisi ya Uraisi inat
Utamlaumu bure professor. Udumavu wa kilimo nchini ni matokeo ya mipango mibovu ya serikali kwa ujumla tokea tumepata uhuru. Kilimo kimebakia kuwa ngonjera za kisiasa - " kilimo ni uti wa mgongo", " kilimo ni mkombozi wa mtanzania" etc lkn ukipitia kwa makini hakuna seriousness, dedication ya serikali katika kuinua kilimo. Jiulize kilimo kinatengewa budget kiasi gani kila mwaka ndio utatambua kuwa hata uweke Mawaziri wote3 uliowataja kwa pamoja katika wizara hii wataishia kusoma magazeti.
 
Back
Top Bottom