Prof. Mbele: Slaa alisema CCM ni choo kichafu

Prof. Mbele: Slaa alisema CCM ni choo kichafu

Kule kwa wajomba zangu, Kilindi, wana methali yao ambayo nikiitafsiri kwa kiswahili maana yake ni kuwa "Kinyesi cha zamani hakinuki". Ndio maana Waswahili nao wakasema ya kale (awmeacha kuyataja) dhahabu. Lakini mwanangu choo (chooni) hunuka!

Dr. Slaa mwenyewe ilibidi afahamu kuwa "Mkono ukinyewa na mtoto haukatwi bali huoshwa". Lakini kile kinyesi hutupwa chooni!

Loh! Kumbe mgombea mmoja yuko chooni? Huko hakuna matumaini wala mabadiliko.
 
Mambo yanazidi kunoga, chaguo lako. Ama vya chooni au vya sebuleni.
 
kama kweli wewe ni mprof wakakupime akili,slaaaliposema uchafu wa lowasa akiwa ccm mbona haukutoa uchambuzi wako wa ovyo leo eti ameyasema amachafu ya lowasa akiwa cdm ndo unatoa uchambuzi wako wa ovyo,ukiona prof ananunuliwa? huyo ni janga la taifa,

hivi kweli huyu prof anapata waki akili za kumsema amagufuli,je anasafiri kupitia ndenge nini?



Acha kutokwa povu...... Maskini hata hueleweki umeandika nini mtaweweseka sana mwaka huu hamnA jinsi tutawaoverdose tu
 
Back
Top Bottom