Duh.......hili nalo wazo ni zito,nitampigia kura mtu aliyeopolewa kwenye choo sio kumpigia yule aliyebaki chooni.
Asante professor.
unajua kuna maprof nafikili uprof walipata kwa bahati mbaya kama anajiona anaweza asifanyie uchambuzi wake chooni maana na yeye inwezekana huyo chooni ajitokeze slaa amesema mwenye kutaka ajitokeze ili wafanye uchambuzi wote ,
au ili hakulisikia au ndo walewale wa chooni,