Updates kutoka kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa kuhusu ujenzi wa reli tanzania. Standard Gauge Railway (SGR).
Amesema; Gati namba 2 zinaendelea kujengwa ili kuboresha bandari hiyo Serikali inaendelea kuboresha miundombinu katika maeneo mbali mbali na kwa ukanda wa Mtwara.
Sio bandari pekee hata kwenye reli tenda za mradi wa SGR kwa Mtwara - Mbamba bay na matawi ya Mchuchuma - Liganga KM 1000, iko kwenye hatua za mwisho ili kuitangaza,kwa hiyo tunaenda spidi kuelekea 2020 tutakuwa mbali.
Serikali inamipango mikubwa kuimarisha miundombinu kwa SGR Tanga - Arusha tenda ya kumtafuta 'Transaction Advisor' imeshatangazwa, kwenye vya ndege pia Serikali itaboresha kwa bandari Tanzania port wanaweza eleza kidogo nini kinafanywa pale kuboresha
Nashukuru changamoto hizi za masuali zinatufanya nasi tukimbie kimbie kutekeleza miradi hii mikubwa, bado tunasisitiza Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu.
Hii ni habari njema kwa SGR Tanzania kwa ujumla!.
Amesema; Gati namba 2 zinaendelea kujengwa ili kuboresha bandari hiyo Serikali inaendelea kuboresha miundombinu katika maeneo mbali mbali na kwa ukanda wa Mtwara.
Sio bandari pekee hata kwenye reli tenda za mradi wa SGR kwa Mtwara - Mbamba bay na matawi ya Mchuchuma - Liganga KM 1000, iko kwenye hatua za mwisho ili kuitangaza,kwa hiyo tunaenda spidi kuelekea 2020 tutakuwa mbali.
Serikali inamipango mikubwa kuimarisha miundombinu kwa SGR Tanga - Arusha tenda ya kumtafuta 'Transaction Advisor' imeshatangazwa, kwenye vya ndege pia Serikali itaboresha kwa bandari Tanzania port wanaweza eleza kidogo nini kinafanywa pale kuboresha
Nashukuru changamoto hizi za masuali zinatufanya nasi tukimbie kimbie kutekeleza miradi hii mikubwa, bado tunasisitiza Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu.
Hii ni habari njema kwa SGR Tanzania kwa ujumla!.