Prof. Maghembe amekalia kuti kavu

Prof. Maghembe Mbunge wa Wilaya ya Mwanga nilipozaliwa, nikakulia na nitazikwa hapo wilaya ya Mwanga
 
Arudishwe baba aunt Ezekiel aendelee kuongoza Wizara ya maliasili na utalii
 
mmmh kumbe ccm kuna majipu lizaboni???kumbe ccm kuna mafisadi mimi nilijua magufuli ni malaika hakosei kuchagua
Yapo bado, hayaishi hivi karibuni. Ila sasa yakishatumbuliwa tu mnaanza kuyatetea na kuyakaribisha kwenu mtaa wa ufipa.
Hapa ndipo napopata wasiwasi na lengo la chama hiki cha mtaa huo.
 
Kwa kweli Maghembe ni tatizo sana hata jimboni kwake naona kuna matatizo sana tangu alipata Ubunge hakuna la maana alilofanya.
Uharibifu mazingira ni mkubwa sana kila sehemu.
Miradi ya maji jimboni kwake haionekani. Yote imekufa na mabomba hayato maji. Na kwa woga wa wananchi hakuna anaye hoji .

Maeneo ya Kagera hasa wilaya ya Biharamulo na kwingineko kuna uharibifu mkubwa sana wa Mazingira unaosababishwa na wakulima na wayfugaji wanaovamia maeneo ya hifadhi. Hata hivyo hatukuona waziri akichukua.
Miaka 20 ijayo wilaya ya Biharamulo itakua jangwa kama tutaendelea kuwa na waziri Maghembe kwenye wizara ya maliasili.
Ni vizuri Mh. Rais akambadilishia wizara. Apewe wizara nyepesi au apumzike kabisa.
Lakini si yeye tu bali mawaziri wengi hawana kasi ya kutosha kuendana na Rais aliyepo. Hawana ubunifu. Bila ubunifu nchi haitasonga mbele zaidi ya kufukuzana na kutiana hofu tu.
 
Kwa hilo la Biharamulo nakuunga mkono naifahamu misitu ya Biharamulo enzi hizo haijaharibiwa, ukiiona sasa.....
Binadamu anagombana ile mbaya na misitu badala ya kuwa rafiki wa misitu.
 
Wewe umekalia kigogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…