Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Akizungumza katika mahojiano na TBC1 mchumi mbobezi Profesa Ibrahimu Lipumba amesema hakutegemea kama Rais angemteua Gavana Mwanasheria kwani kwa kawaida Gavana huwa mtu aliyesomea maswala ya uchumi.
Profesa Lipumba amesema Profesa Luoga ni mbobezi wa sheria za kodi na maswala ya kodi yapo chini ya wizara ya fedha hayapo BOT.
Source: TBC1
Profesa Lipumba amesema Profesa Luoga ni mbobezi wa sheria za kodi na maswala ya kodi yapo chini ya wizara ya fedha hayapo BOT.
Source: TBC1