huu ni ukweli usiopingika ukibisha utaonekana una matatizo katika chako, huyu jamaa kweli ni prof wa ukweli mungu amempa akili na uwezo mkubwa, leo kuwa ni mtu mweusi pekee kutoka afrika aliyeshughulikia mtikisiko wa uchumi duniani akiwa ni mwenyekiti wao, akiongea kuhusu tanzania anasema yupo tayari kufanya tafiti juu ya tanzania ila tu wakubaliane kutekeleza utafiti huo na uchumi wa tanzania utapanda haraka na watanzania tutakuwa kwenye neema, ni professor pekee mwenye uchungu wa nchi yake, watanzania wameitupa almasi wazungu wameiokota. tusubiri 2015 labda watanzania wanaweza kuiona almasi.