Prof. Lipumba na mbio za Urais

Prof. Lipumba na mbio za Urais

hilo ndo tatizo la upinzan uchwala wa tz het always lipumba for what? hii ndo hereditary plivelege! ukawa wote ni team masilahi daily looking to feed their stomach...and enrich themselves!
 
Mkuu DCONSCIOUS, kwanza nakupa pole kwa ujinga wako, wewe ni mjinga, na nakuomba usichukulie kuwa nimekutukana bali mjinga ni mtu asiyejua, akiisha julishwa ujinga ukimtoka, anakuwa sio mjinga tena kwa sababu ameufuta huo ujinga wake!.

Mtu kuwa mjinga kwa kutokujua sio kosa, bali kosa ni kama mjinga huyo ataelimishwa na kuendelea kuumbatia ujinga huo!.

Ujinga hapa ni kwa wana UKAWA, kutoelimishwa kuhusu upatikanaji wa mgombea wa pamoja wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Vyama vyote vinne vinavyounda UKAWA viko huru kuendesha mchakato wake wa ndani kumpata mgombea wake wa urais wa Zanzibar na Muungano. Chama cha CUF kimeishauzindua mchakato wake wa ndani na tayari kimeisha mtangaza Maalim Seif ndio mgombea wake urais wa Zanzibar na soon kitazindua huku bara kwa kumtangaza Prof. Lipumba kuwa mgombea wake wa urais bara.

Chadema nacho kiko huru kutangaza mgombea wake wa urais Zanzibar na Bara. NCCR nageuzi nao pia wako huru kutangaza wagombea wao vivyo hivyo kwa NLD.

Kisha UKAWA sasa itakutana na kuwachuja hao wagombea wote kutoka vyama vyote vinavyounda UKAWA na kuibuka na mgombea mmoja mmoja kwa urais wa Zanzibar na wa Muungano kwa tiketi ya UKAWA. Mgombea huyo sasa ndio atakuwa mgombea wa UKAWA na sio lazima ndio lazima awe Prof. Lipumba, anaweza hata kuwa ni James Mbatia au hata Emanuel Makaidi!.

Kwangu tatizo sio CUF kumtangaza Prof. Lipumba kuwa mgombea wake, bali ni watu ambao hawana shughuli nyingine yoyote ambapo siasa wao wameifanya ndio ajira yao ya kudumu, hivyo hata kugombea urais, mtu anakuwa ni mgombea wa kudumu, amaishakataliwa mara 4, na bado anataka tena mara ya 5!, mtu kama huyo asipopitishwa yeye na haku hajawahi kujaribu hata jimbo lolote, atafanya nini?!.

Kwa siasa za Bongo, Prof. Lipumba hana uwezo wa kuchagulika kuiingiza UKAWA Ikulu, ila ni haki yake kuchaguliwa kuwa mgombea wa CUF ila safari yake itaishia kwenye kumpata mgombea wa pamoja mwenye uwezo wa kuchagulika kuiingiza UKAWA Ikulu!.

Naamini kwa hili, utakuwa umeelimika na kuacha ujinga!.

Wito kwa viongozi wa UKAWA, elimisheni watu wenu kuwatoa ujinga ili waijue process ya kuelekea kumpata mgombea wa pamoja!.

Pasco

Hizo ndo taratibu walizo jipangia UKAWA au Hivyo ndio Hisia zako zinavyokutuma....? UKAWA nguvu ya Soda wakiachwa wazii dk 2 chaliiii!
 
Kwa Mimi Nionavyo Lipumba Hawez Kupeperusha Bendera Ya UKAWA Kwa Msingi Kuwa Ni Ngumu CUF Kupeperusha Bendera Ya UKAWA Bara Na Visiwani Kwa Muono Tu Inaonekana Maalim Seif Ana Nguvu Sana Visiwani Haitakuwa Sawa Asiposmamishwa Kule, Sasa Kule Aksmimishwa Maalim Huku Bara Chansi Inakuwa Imebaki Kwa CHADEMA,NCCR Na NLD Nadhani Hili Liko Waz Ingawa Maalim Yeye Anadai Akpata Uraisi Muungano Anavunja Ila Hajaweka Wazi Hatma Ya UKAWA Kwa Dhamira Yake Hyo Jambo Ambalo Ni Hatari Sana Kwa Ustawi Wa UKAWA Kwani Inaonekana Hakuna Dhamira Ya Pamoja Baina Ya Bara Na Visiwani.
 
Hizo ndo taratibu walizo jipangia UKAWA au Hivyo ndio Hisia zako zinavyokutuma....? UKAWA nguvu ya Soda wakiachwa wazii dk 2 chaliiii!
Shiva, hata KANU ya jirani zetu Kenya, nao waliaamini hivi hivi!, wakafuatia na UNIP ya jirani zetu wa Zambia, wakaja MBC wa jirani zetu Malawi!.

Kama Kenya, Zambia na Malawi kote iliwezekana kwa nini Tanzania ishindikane?!, naamini it is only a matter of time!.

Pasco
 
Mkuu DCONSCIOUS, kwanza nakupa pole kwa ujinga wako, wewe ni mjinga, na nakuomba usichukulie kuwa nimekutukana bali mjinga ni mtu asiyejua, akiisha julishwa ujinga ukimtoka, anakuwa sio mjinga tena kwa sababu ameufuta huo ujinga wake!.

Mtu kuwa mjinga kwa kutokujua sio kosa, bali kosa ni kama mjinga huyo ataelimishwa na kuendelea kuumbatia ujinga huo!.

Ujinga hapa ni kwa wana UKAWA, kutoelimishwa kuhusu upatikanaji wa mgombea wa pamoja wa urais kwa tiketi ya UKAWA.

Vyama vyote vinne vinavyounda UKAWA viko huru kuendesha mchakato wake wa ndani kumpata mgombea wake wa urais wa Zanzibar na Muungano. Chama cha CUF kimeishauzindua mchakato wake wa ndani na tayari kimeisha mtangaza Maalim Seif ndio mgombea wake urais wa Zanzibar na soon kitazindua huku bara kwa kumtangaza Prof. Lipumba kuwa mgombea wake wa urais bara.

Chadema nacho kiko huru kutangaza mgombea wake wa urais Zanzibar na Bara. NCCR nageuzi nao pia wako huru kutangaza wagombea wao vivyo hivyo kwa NLD.

Kisha UKAWA sasa itakutana na kuwachuja hao wagombea wote kutoka vyama vyote vinavyounda UKAWA na kuibuka na mgombea mmoja mmoja kwa urais wa Zanzibar na wa Muungano kwa tiketi ya UKAWA. Mgombea huyo sasa ndio atakuwa mgombea wa UKAWA na sio lazima ndio lazima awe Prof. Lipumba, anaweza hata kuwa ni James Mbatia au hata Emanuel Makaidi!.

Kwangu tatizo sio CUF kumtangaza Prof. Lipumba kuwa mgombea wake, bali ni watu ambao hawana shughuli nyingine yoyote ambapo siasa wao wameifanya ndio ajira yao ya kudumu, hivyo hata kugombea urais, mtu anakuwa ni mgombea wa kudumu, amaishakataliwa mara 4, na bado anataka tena mara ya 5!, mtu kama huyo asipopitishwa yeye na haku hajawahi kujaribu hata jimbo lolote, atafanya nini?!.

Kwa siasa za Bongo, Prof. Lipumba hana uwezo wa kuchagulika kuiingiza UKAWA Ikulu, ila ni haki yake kuchaguliwa kuwa mgombea wa CUF ila safari yake itaishia kwenye kumpata mgombea wa pamoja mwenye uwezo wa kuchagulika kuiingiza UKAWA Ikulu!.

Naamini kwa hili, utakuwa umeelimika na kuacha ujinga!.

Wito kwa viongozi wa UKAWA, elimisheni watu wenu kuwatoa ujinga ili waijue process ya kuelekea kumpata mgombea wa pamoja!.

Pasco
mkuu Pasco wewe ni mjinga,nafikiri maana ya ujinga ushaifafanua vyema!,hujui na unajifanya kumfundisha mtu ambaye hujui kuwa anajua au hajui labda kaandika kwa mawazo na mapendekezo yake!,mwana ukawa anaefatilia ukawa ndiye anaejua ni nini kinacho endelea na sio suala la kupewa elimu,maana ratiba ya mchakato ya ukawa ya mwezi august ilitoka pamoja na maelekezo mazuri ya namna ya kumpata mgombea mmoja sasa wewe unataka elimu ipi?,hakika wewe ni mjinga na usijifanye unajua kila kitu kwa kuwaita wengine wajinga Logic
 
Last edited by a moderator:
Lipumba kumnadi n ngumu sna.aheri mbatia kdgo unaweza kumnadi lakini c lipumba.kwa upande wa cdm mleta mada yupo sahih cdm wamejinad maeneo yote nchni.hata znz wamejaribu.ni rahis kumnadi mgombea yeyote cdm kuliko hao wa cuf.mfano handeni tanga na kilindi ni ngome ya cuf walishndwa kusimamisha wagombea hata moja kwenye majibo hayo.leo waje wamsimamishe mgombea wa urais?big no!
 
Ukawa iko imara sana! Watanzania kwa mara ya kwanza mtafurahi sana, huu ushirikiano wa vyama 4 utaleta Mapinduzi ya utawala wa haki ndani ya nchi yetu.

Kuhusu prof. Lipumba kutangaza anaruhusiwa na ndo utaratibu ulivyo ndani ya vyama vyote. Kikubwa hapa je nani mwenye nguvu ukawa anayeweza kupambana na Makongoro Nyerere ukawa wakavuna wabunge wa kutosha na baadae wakarudi bungeni kuturudishia katiba mpya ile ya Warioba? Prof Lipumba alikwisha sema wazi kabisa, endapo ukawa hawatampitisha kupeperusha umoja wao yuko tayari kumpigia debe mgombea atakaye pitishwa.
 
Back
Top Bottom