Sio viwanja vya baraza la Idd, ni kakiwanja kadogo sana ambapo hata Mchungaji Mtikila huwa anakajaza!!
Wamedanganywa na aka kapost CHADEMA waifungulia CUF njia…opportunists au wamepata maelekezo ya washirika wao washambulie sasa hivi wakati cdm wakiendelea kupambana na video ya kuchonga i.ku.lu
MTATIRO yupo mkoani RUVUMA saiv katika wilaya ya TUNDURU, na mpaka saiv viwanja vya Baraza la idd vilivyopo Tunduru mjini wamefurika maelfu ya watu, wakimsikiliza mtatiro!!
Hahahahahahaha
Bocho za weekend?
Cuf ilikuwa na nguvu zamani Tunduru lakini sasa mambo yameanza kubadilika chadema inashika kasi sana hasa vijijini na jinsi mambo yanavyoenda jimbo lile litakwenda chadema kinachotakiwa makamanda tuongeze nguvu kule na huenda nikaamua kugombea mwaka 2015.