propagandist
Member
- Aug 12, 2011
- 93
- 9
huku askari wa miguu wamekwisha ivamia kagera toka walipomaliza kuiteka Arusha, kazi imebakia kwa majemedari prof lipumba na maalim seif kusimika bendera ya ukombozi kwa mkoa wa kagera na kuchukua mateka na kuwarudisha kundini kabla ya kuelekea mkoa wa mwanza, kigoma, tabora, singida, dodoma na morogoro.