apewe muda bado tuna mpenda na kumkubari kama vip hata 2025. chadema na slaa wakae pembeni
Kwa mujibu wa Prof Ibrahim Lipumba kupitia kituo cha ITV, anasema kuna habari kazipata kuwa mawaziri wanapanga kupeleka hoja bungeni ili Kikwete aongezewe muda hadi 2017!! Sababu ni kuwa asimamie zoezi zima la katiba mpya kupatikana! Lipumba kamwonya asithubutu, maalim Seif Sharrif Hamad alikuwa pembeni. Si bure hapa kuna kitu. Una maoni yapi mwana JF?
Jamani jamani jamani!Du aachie ngazi 2shamchoka maisha yamekuwa magumu sana utawala wa kikwete,unga kilo sh 400 mpaka sh 1300
jamani hii taarifa si ya kweli lipumba hakusema kuwa rais ana nia ya kufanya hivi,nimemsikia mimi mwenyewe akisema kuwa rais hajawahi kutamka maneno haya bali alisema kuwa ni tetesi tu anazisikia hivyo si vema kumshambulia kikwete kwa kitu asichokisema
Aje kwenye familia yako akuongoze wewe kwa miaka hiyo miwili na sio Tanzania,hata aliokaa ni mingi sana,kama watanzania tungekuwa na umoja angekuwa ameshakimbia ikuluapewe muda bado tuna mpenda na kumkubari kama vip hata 2025. chadema na slaa wakae pembeni
apewe muda bado tuna mpenda na kumkubari kama vip hata 2025. chadema na slaa wakae pembeni