NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Kweli RA payroll yake ni kubwa mpaka Lipumba....!
Hivi macho yangu yameona hii kitu sawasawa kweli naomba mnifumbue macho kama kweli hata Proffesor yupo kwenye payrol ya RA Mhh makubwa may be....!!!
Lakini si ajabu Maprofesa wetu kuwa namna hii labda ni mfumo wetu wa kimaisha kwa sababu nchi nyingine Maprofesa ni watu wanaotunza sana heshima zao lakini hapa home baadhi yao wengi wanaiaibisha taaluma yao.