Prof. Lipumba akichambua taarifa ya kamati ya mchanga wa dhahabu Azam Two

utaifakwanza

JF-Expert Member
Feb 1, 2013
14,193
2,812
Anasema hisa za ACACIA katika soko la dunia zimeanguka kwa asilimia 40, pamoja na kwamba wanafanya kazi na watu wakubwa na makampuni makubwa duniani.

Anasema kamati iliyoundwa na rais ilikuwa ni ya wataalamu bobezi maana ni ma professor na madaktari zamivu kwenye eneo hilo.

Na kwamba kamati hiyo imeibua mjadala ni wajibu sasa kwa taifa kujadili jambo hili la rasilimali za nchi kwa kina zaidi.

updates.1: anasema tume imetufungua macho, tuanzie hapo.

= = Prof anasema pamoja na hoja za msingi kuhusu kubadilisha sheria za mikataba zilizopo sasa lakini kampuni yoyote haitakiwi kudanganya kama aambavyo ACACIA wametudanganya sisi Tanzania
 
anasema hisa za ACACIA katika soko la dunia zimeanguka kwa asilimia 40, pamoja na kwamba wanafanya kazi na watu wakubwa na makampuni makubwa duniani. anasema kamati iliyoundwa na rais ilikuwa ni ya wataalam bobezi maana ni ma professor na madaktari zamivu kwenye eneo hilo. kwamba kamati hiyo imeibua mjadala ni wajibu sasa kwa taifa kujadili jambo hili la rasilimali za nchi kwa kina zaidi. fuatilia
Kibaraka wa ccm atamfurahisha baba yake!
 
Lipumba gan Huyu anaejifanya commando pale buguruni na kikundi chake cha wahuni or?
 
Ona watu wanavomcrush MTU anaeongelea suala lenye maslahi kwa taifa, wabongo tuache huu ujinga wa kujiwangia wenyewe.

Sasa kama makosa yalifanywa siku nyingi na uongozi uliopita ndio Magufuli asisahihishe? Hata kama itakuwa kesi, msisikilize tu upande wa tundu lissu, kwamba tutashindwa, angalieni na namna serikali itaweza kushinda iyo kesi na kureverse huo mkataba uwe na manufaa zaidi kwa taifa.

Hiyo kamati yenyewe imetufungua sana macho, namna gani tulikuwa tunaibiwa.
Wabongo hatuoni hilo ni kupondea tu. Nimewaza sana, huenda ikawa tunaishi na mashetani huku, na ni Mungu amekuwa anatuepusha maana yakiishiki hii nchi tutakoma.

Sasa embu jiulize tundu lissu na team yake wangeshika madaraka, tungeyajua haya? Au wangeogopa kesi wakae kitako na hao maboss wa acacia wakatiwe vyao issue iwekwe chini ya kapeti.
 
anasema hisa za ACACIA katika soko la dunia zimeanguka kwa asilimia 40, pamoja na kwamba wanafanya kazi na watu wakubwa na makampuni makubwa duniani. anasema kamati iliyoundwa na rais ilikuwa ni ya wataalam bobezi maana ni ma professor na madaktari zamivu kwenye eneo hilo. kwamba kamati hiyo imeibua mjadala ni wajibu sasa kwa taifa kujadili jambo hili la rasilimali za nchi kwa kina zaidi.
updates.1
anasema tume imetufungua macho, tuanzie hapo.
= = PROF anasema pamoja na hoja za msingi kuhusu KUBADILISHA SHERIA ZA MIKATABA ZILIZOPO SASA LAKINI KAMPUNI YOYOTE HAITAKIWI KUDANGANYA KAMA AAMBAVYO ACCACIA WAMETUDANGANYA SISI TANZANIA
fuatilia
Anaongea kama alivyoelekezwa na anaowatumikia kwa sasa hana hadhi ya uprofesa
 
Back
Top Bottom