Prof. Lipumba akerwa na Zitto Mtwara


Hii inaweza kuwa mbaya katika ustawi wake pale unapotamalaki kila kitu kiwe kwa kiasi
 
Nilidhani ZZK yupo makini hasa baada ya misukosuko katika safar yake ya kisiasa iliyompata kumbe bado utot na kutaka sifa binafsi kuamuandama

Fahari aachi asili jamaa yangu kama hata Prof kachemka basi.
 
Chuki kwa ACT ni upuuzi wa mijitu isiyo fahamu maana pana ya demokrasia! Ni mijitu ya chadema ambayo inataka demokrasia isikue hapa Tanzania! Iacheni ACT kama itakataliwa na Watanzania ila sio wachawi kuipinga na kuichulia,kwani ninyi chadema uhalali wa kisiasa mnatoa wapi ACT wasiwe nao!???? Acheni ujinga wenu Chadema
 

Sasa Mkuu Chadema wamwameingiaje hapa? Hicho Kilicho andikwa ni uongo? Tujielekeze kwenye hoja na tusifiche udhaifu wetu kwa kusingizia watu
 
Oooh! My brother Zitto unafanya nini sasa!!!?
 
Last edited by a moderator:
Huyu ndo anayedaiwa kuwa hazina ya taifa! Huyu ni mshenzi kupita washenzi wote kwenye siasa. We umealikwa halafu na wewe unaalika wanachama wa chama ambacho unajifichaficha kuwa mwanachama wake! Shame on you! Ni kama mtu umealikwa kwenye sherehe kwa kadi ya single halafi wewe unabeba na mchepuko kwenda nao! Huu ni upumbavu! Nadhani lipumba aliyekuwa anataka chadema wasuluhishane na zzk ameona kumbe kunguru hafugiki na chadema wamevumilia sana kuwa na type ya kishenzi kama hiyo. Nadhan prof hata amejionea mwenyewe jinsi chadema walivyohangaika na mzigo huo
 

Mkuu mi nadhani mtoa mada au mada inayozungumziwa hapa inahusu ACT- TZ na CUF. Ebu nijulishe chadema imeingiaje hapa hata wewe ukaona ndo mhusika mkuu ktk comment yako? Turumbane kwa hoja plz
 
Upuuzi huo watafuteni wapuuz wa kuuamin

WATU WANAPIGA KAZI KUPAMBANA NA UFISADI NYINYI MNAENDELEZA PROPAGANDA ZA KIFEDHULI

WAPUUZ WAKUBWA,BADALA YA KUTUPIA MACHO KWA WEZI WALIOWAIBIA FEDHA ZENU NYINYI MNATUPIA MACHO SIASA ZA MAJITAKA
Lazima tuwaeleze mmeolewa na mume gani maana ukipenda hata chongo unaita kengeza
 
Tusubiri kauli ya Lipumba. Walikuwa wanataka kumtumia Zitto kisiasa kwa manufaa yao ya kisiasa
Kwa hiyo Zitto akawawai kwa kuwaleta wapambe wake wa ACT pamoja na waandishi wa habari wa kumremba.?
 
Niliona kiburi na dharau yake pale alipokuwa anasalimiana na Lipumba huku hajachomeka shati,Baadae anahutubia hajavaa mkanda,ile ni jeuri tu ya kitoto. Ana marafiki wengi wa face book watoto wa f2,3,4 nae yupo hivo.Akasema mbowe akiniomba nitamsaidia issue ya bomba la gesi. Hivi yeye alimuomba mbowe amsaide issue ya escrow na ripoti yake nyepesi.Huyo ndie litaka uraisi na uenyekiti wa chama kubwa
 
Sasa Mkuu Chadema wamwameingiaje hapa? Hicho Kilicho andikwa ni uongo? Tujielekeze kwenye hoja na tusifiche udhaifu wetu kwa kusingizia watu

Umbea huu ni wa kutoka mitaa ya ufipa-chadema
 
Vijana wa chadema mnalipwa nin kumsakama ZITTO mbona yuko kimya nyie mnahangaika na njia

Sasa hizo TUHUMA zinaweza kuandikwa na mtu yeyote mwenye chuki na ZITTO maana hazina uthibitisho wowote .
Nyie ndo mtakao vuruga hata muungano wetu wa ukawa kwa kushinda kwenye mtandao mkipiga majungu badala Ya kuhangaika namna Ya kuidhoofisha CCM mnahangaika namna Ya kumdhoofisha ZITTO kwa juhudi zozote zile
Kesho na Kesho kutwa mtaanza tena na Lipumba kwa propaganda chafu hatimaye muungano wa ukawa unakufa.
 
Nilishasema, ZZK nje ya CHADEMA ni kama chui wa karatasi. Hapo alipo yuko kwenye dilemma kuhusu future yake kisiasa. Kama ni mwanaume kweli mbona bado anashindwa kujitokeza hadharani na ACT yake?
Ni ajabu hata hao CUF kumpa platform. Zito ni msaliti wa MAGEUZI CAUSE. Haiwezekani wote tuko kwenye mashua baharini halafu mwenzetu anaanza kuutoboa. Kwa ujumla wetu tutapambana naye kumzuia na kama anaendelea uamuzi muafaka ni kumtosa baharini na kutuacha sisi tuendelee na safari Yetu.
amezidi kujianika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…