Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo Professa Kitila Mkumbo, amewasihi watanzania kumpigia kura Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, akieleza kuwa Mgombea huyo anasifa zote za Kiongozi mkuu wa Nchi, ikiwemo uimara
Ameeleza hayo leo Oktoba 12, 2025 alipokuwa katika Mkutano wa kampeni wa Chama hicho, uliofanyika kiwanja cha Gine Makurumla jijini Dar es salaam
"Dkt. Samia, Mgombea wetu, ambaye pia ndio Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, ameonyesha uimara wa kutosha" amesema Prof. Kitila
Amesema licha ya Mgombea huyo kuwa imara, lakini pia anatoka Chama imara na ameonyesha uwezo dhahiri wa kuiongoza nchi katika kipindi alichokuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
"katika wagombea wote mwaka huu mwenye uzoefu mwenye uwezo kwa rekodi isiyotia shaka ni mama yetu Dkt. Samia Suluhu Hassan" ameongeza Kitila
Ameeleza hayo leo Oktoba 12, 2025 alipokuwa katika Mkutano wa kampeni wa Chama hicho, uliofanyika kiwanja cha Gine Makurumla jijini Dar es salaam
"Dkt. Samia, Mgombea wetu, ambaye pia ndio Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, ameonyesha uimara wa kutosha" amesema Prof. Kitila
Amesema licha ya Mgombea huyo kuwa imara, lakini pia anatoka Chama imara na ameonyesha uwezo dhahiri wa kuiongoza nchi katika kipindi alichokuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
"katika wagombea wote mwaka huu mwenye uzoefu mwenye uwezo kwa rekodi isiyotia shaka ni mama yetu Dkt. Samia Suluhu Hassan" ameongeza Kitila