Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,294
- 6,589
Wana irmba mash sijui mbunge wao nani saiv. Nakumbuka 2010 ni Salome Mwambu. Magharibi ni Madelu Mwigulu Nchemba.Wana Iramba Mashariki wamemuomba radhi sana sana Mh.Rais kwa kosa walilofanya 2010 na 2015 kuchagua Kibaraka wa Mabeberu na wameapa hawatorudia kosa hilo Abadan
Kwa usikivu wa Rais huyu bila ya Shaka atawasamehe kwa kuwa anajua mtoto akinyea kwny kiganja unasafisha mkono sio kuukata
Soma ujumbe vizuri yeye kasema mashariki wakati Mwigulu ni Iramba magharibi. Mtoa post haelewi kaandika nini. Iramba mash kuna jamaa moja hana makuu na hasikiki sana BungeniMwigulu kumbe nae ni kibaraka wa mabeberu!! Sasa wananchi walifanya kosa gani wakat chama ndo kilipeleka jina hilo!!
Hakuna jimbo la iramba bali kuna iramba magh na masharikiHivi mbunge wa Iramba kwa sasa ni nani ?
mara 1000 uongozwe na mtu kama msukuma au kibajaji zero brain kuliko hao PHD holders
Inasemekana Prof. Kitila Mkumbo wana Iramba wanamsubiri kwa hamu kubwa sana.
Mbunge anayemaliza muda wake anahaha kujinusuru.
Let us wait and see.
Wana Iramba Mashariki wamemuomba radhi sana sana Mh.Rais kwa kosa walilofanya 2010 na 2015 kuchagua Kibaraka wa Mabeberu na wameapa hawatorudia kosa hilo Abadan
Kwa usikivu wa Rais huyu bila ya Shaka atawasamehe kwa kuwa anajua mtoto akinyea kwny kiganja unasafisha mkono sio kuukata
shida ya mabeberu hawa ishi hapa hata misaada wanayotoaga huwa hatupokei kwa sababu wanaishi hapa, tunajua hawaishi hapa ndo maana misaada tunapokea na wanatupa mashinikizo na tunayakubali kwasababu misaada yao tunaitaka ni mitaamu sisi njaa, njaa zetu ndo zinafanya leo tuite mabeberu watupe misaada na kuwaomba waje kuwekeza na kuangalia mbuga zetu aiseee njaaa mbaya sanaHatujabadili vifungu kutokana na shinikizo la mabeberu kwani wao wanaishi hapa TZ kwamba sheria hizo zinawagusa wao??....sheria zimebadilishwa kwa maslahi mapana na watanzania wote ili hata nyinyi vibaraka wa mabeberu mnufaike nazo....pambavu sana nyinyi
Vipi Diwani hawabadilishi? Maana Iramba tunataka iwe kama DubaiWana Iramba Mashariki wamemuomba radhi sana sana Mh.Rais kwa kosa walilofanya 2010 na 2015 kuchagua Kibaraka wa Mabeberu na wameapa hawatorudia kosa hilo Abadan
Kwa usikivu wa Rais huyu bila ya Shaka atawasamehe kwa kuwa anajua mtoto akinyea kwny kiganja unasafisha mkono sio kuukata
Kwahiyo Kitila anagombea Iramba Mashariki au Magharibi?Wana Iramba Mashariki wamemuomba radhi sana sana Mh.Rais kwa kosa walilofanya 2010 na 2015 kuchagua Kibaraka wa Mabeberu na wameapa hawatorudia kosa hilo Abadan
Kwa usikivu wa Rais huyu bila ya Shaka atawasamehe kwa kuwa anajua mtoto akinyea kwny kiganja unasafisha mkono sio kuukata
Kweli?Serikal Sikivu sifa yake ni kusikliza