Prof. Kitila Mkumbo - Mwenyekiti UDASA

Prof. Kitila Mkumbo - Mwenyekiti UDASA

BABA E's

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
354
Reaction score
136
Habari za jikoni zinasema Prof. kitila Mkumbo amechaguliwa rasmi leo kuwa mwenyekiti wa UDASA. Ana changamoto kubwa ya kuirudisha UDASA ya zamani. Aliyekuwa anamaliza muda wake Dr. Fransis Michael ameambulia zomeazomea kadhaa kuashilia kwamba hakuiongoza vizuri UDASA.

Kila la kheri Prof. Mkumbo tunategemea utaiamsha UDASA iliyolala.
 
Yaani huyu Fransis Michael ilikuwa hakuna kitu,UDASA YA CHACHAGE sijui itarudi lini?
 
Hili ni jembe la ukweli!, nilikuwa namsiliza jana BBC kuhusu kifo cha Rais Satta!.

Masikini kile chama!, they didn't know what treasures they had until when they lost it!.


Pasco

Kaka mbona unachanganya madesa, mada inasema hivi na wewe unaingiza yale.
 
Hili ni jembe la ukweli!, nilikuwa namsiliza jana BBC kuhusu kifo cha Rais Satta!.

Masikini kile chama!, they didn't know what treasures they had until when they lost it!.

Pasco

Kile chama kiko makini ndio maana kimemfukuza tu na kumuachia uhai wake aendelee kuwatumkia watanzania kwa namna nyingine. Ila kile CHAMA KINGINE kile, angekuwa marehemu leo, angekuwa anapiga story na Mvungi na Mwangosi, the list goes on.
 
matokeo yalikuwa hvi. Kwanza UDSM main campus ina wanataaluma kama 1090. Waliohudhuria mkutano huo ulikuwa na ajenda ya uchaguzi ni kati ya 70 hadi 80. Katika ajenda hiyo ya uchaguzi Kwnye nafasi ya uenyekiti Prof. Kitila alipata kura 51, wa pili, Dr. V. Anney 20 na Dr. Tarmo 7. nafasi ya makamu Mwenyekiti imeenda kwa Dr. V. Anney. Nafasi ya Katibu imeenda kwa Dr. John Jingu, Naibu katibu ni Dr. Kedmond Mapanda na Mhazina Dr. Kahangwa.

Lakini kuna maswai ya kujiuliza katika uchaguzi je tunajifunza kitu gani kwa idadi hii ya wasom waliojitokeza?
 
Hili ni jembe la ukweli!, nilikuwa namsiliza jana BBC kuhusu kifo cha Rais Satta!.

Masikini kile chama!, they didn't know what treasures they had until when they lost it!.

Pasco

Yani were Pasco hauishiwi unafiki
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama wajumbe waliohudhuria ni 70 mpaka 80 kati ya wanachama 1090 hicho kikao kitakua halali kweli.UDASA IS DEAD.WACHUMIA TUMBO UDSM NI WENGI MNO.
 
francis anajua kwa nn amezomewa..............BMK
 
Sasa kama wajumbe waliohudhuria ni 70 mpaka 80 kati ya wanachama 1090 hicho kikao kitakua halali kweli.UDASA IS DEAD.WACHUMIA TUMBO UDSM NI WENGI MNO.

Hicho kikao Mwenyekiti alikua Sitta nini.?
 
Sasa kama wajumbe waliohudhuria ni 70 mpaka 80 kati ya wanachama 1090 hicho kikao kitakua halali kweli.UDASA IS DEAD.WACHUMIA TUMBO UDSM NI WENGI MNO.

Hapo kweli kuna shida!. Njaa labda zinawasumbua.
 
Hili ni jembe la ukweli!, nilikuwa namsiliza jana BBC kuhusu kifo cha Rais Satta!.

Masikini kile chama!, they didn't know what treasures they had until when they lost it!.

Pasco

Huwa unapayuka sana zinapokuja ishu za wasaliti
 
Huwa unapayuka sana zinapokuja ishu za wasaliti
Kiukweli sitatizwi kabisa na myopic wote waliokuwa blindfolded na mapenzi yao kwa chama, huku wakiwaabudia watu wasio na uwezo, kwa kuwanyooshea vidole vya usaliti wenye uwezo wowote!.

Angalia kwenye safu yenu yote!, nani ana vigezo na viwango vya kumkaribia huyu jamaa?!.

Kama usaliti ni ule waraka, nimewatetea 100 times, haukuwa waraka wa usaliti wala wa mapinduzi bali a "winning coalition!".

Tena shukuruni sana ZZK ameamua kuifuta kesi kwa ridhaa yake na kujifungashia na kujiondokea, vinginevyo...

2015 sijui mngekuwa wageni wa nani?!.

Pasco
 
Kiukweli sitatizwi kabisa na myopic wote waliokuwa blindfolded na mapenzi yao kwa chama, huku wakiwaabudia watu wasio na uwezo, kwa kuwanyooshea vidole vya usaliti wenye uwezo wowote!.

Angalia kwenye safu yenu yote!, nani ana vigezo na viwango vya kumkaribia huyu jamaa?!.

Kama usaliti ni ule waraka, nimewatetea 100 times, haukuwa waraka wa usaliti wala wa mapinduzi bali a "winning coalition!".

Tena shukuruni sana ZZK ameamua kuifuta kesi kwa ridhaa yake na kujifungashia na kujiondokea, vinginevyo...

2015 sijui mngekuwa wageni wa nani?!.

Pasco

Na hapa unaendeleza mpayuko ule ule. Huyo jamaa si ana chama chake? Si uje hspa kukitsbiria mema chama chake kwa uwepo wake? Chadema wamemfukuza full stop sio kila jina lake likijitokeza basi lazima uhusishe na Chadema. Chada ina vichwa na watu wenye weledi. Wanaosukumwa na ukombozi wa taifa hili sio matumbo yao. Wewe na hao wahuni wenzio mmeula wa chuya
 
Kiukweli sitatizwi kabisa na myopic wote waliokuwa blindfolded na mapenzi yao kwa chama, huku wakiwaabudia watu wasio na uwezo, kwa kuwanyooshea vidole vya usaliti wenye uwezo wowote!.

Angalia kwenye safu yenu yote!, nani ana vigezo na viwango vya kumkaribia huyu jamaa?!.

Kama usaliti ni ule waraka, nimewatetea 100 times, haukuwa waraka wa usaliti wala wa mapinduzi bali a "winning coalition!".

Tena shukuruni sana ZZK ameamua kuifuta kesi kwa ridhaa yake na kujifungashia na kujiondokea, vinginevyo...

2015 sijui mngekuwa wageni wa nani?!.

Pasco

Pasco bana.... uwezo unaupimaje? You are better than that bro
 
Pasco bana.... uwezo unaupimaje? You are better than that bro

bhana pasco hawa watu wrnye bahati na elimu watakudanganya sana jinsi wanavyokuzidi elimu na ktk hilo utashuka hadhi sana.nakwambia elimu haikufanyi ukawa kiongozi bora ila inachofanya ni kuongezea kujua mambo hasa ya kurubuni na kuwa mdanganyifu kisa elimu
 
Acha unafiki Bhanaaa!!! Huyo msaliti amesoma alama za nyakati na kugundua kwamba ndani ya CHADEMA hata siku moja hakutakuwa na nafasi ya wasaliti. Kwanza mlidai CHADEMA hatuna ubavu wa kumfukuza Zitto, baada ya kufanya hivyo mkaanza kumuombea eti arudishwe!!! Sasa mnadai ameamua kuifuta kesi kwa ridhaa yake!!! Ukweli ni kwamba baada ya uchaguzi wake na kumpata mtendaji mzuri katika iliyokuwa nafasi ya huyo msaliti na pia kugundua kwamba hakubaliki na yeyote ndani ya CHADEMA (viongozi pamoja na wanachama) alikuwa hana jinsi bali kuifuta kesi.

Kiukweli sitatizwi kabisa na myopic wote waliokuwa blindfolded na mapenzi yao kwa chama, huku wakiwaabudia watu wasio na uwezo, kwa kuwanyooshea vidole vya usaliti wenye uwezo wowote!.

Angalia kwenye safu yenu yote!, nani ana vigezo na viwango vya kumkaribia huyu jamaa?!.

Kama usaliti ni ule waraka, nimewatetea 100 times, haukuwa waraka wa usaliti wala wa mapinduzi bali a "winning coalition!".

Tena shukuruni sana ZZK ameamua kuifuta kesi kwa ridhaa yake na kujifungashia na kujiondokea, vinginevyo...

2015 sijui mngekuwa wageni wa nani?!.

Pasco
 
Back
Top Bottom